Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Rafiki Yetu Cheda: Alivyopotezwa na Itikadi Kali ya Dini” Utangulizi wa Kijiweni: Basi ndugu yangu msomaji, leo ngoja nikupe story nzito ya maisha halisi ya jamaa yetu tuliyesoma naye Minaki—jina...
7 Reactions
18 Replies
1K Views
Nilikuwa na sikiliza kazi moja ya miaka hiyo kutoka kwa q chief, Wiper nataka kujua Beat Ilifanywa na nani! TZ Vipaji ni vingi sana!! Daah!!
1 Reactions
10 Replies
665 Views
Habari Wadau Kabla ya Bongo movie ya sasa kuna movie zilitoka kitambo sana wakati huo zilikua available kwenye VHS tu nazitafuta sana mwenye kufahamu tafadhari share nasi tunazipataje. Movie hizo...
1 Reactions
0 Replies
305 Views
Wakuu, Binafsi nimetoka kuangalia na kumalizia Series maarufu duniani ya Squid Game muda sio mrefu. Kwa kweli I'm still traumatized na zile games pamoja na storyline nzima hasa kifo cha starring...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Sikilizia mkwaju namba 11
0 Reactions
1 Replies
492 Views
  • Poll Poll
Sura ya Kwanza: Dar es Salaam ilikuwa ni jiji liliojaa uhai. Kila kona ilikuwa na harufu ya bahari, kelele za magari, na kelele za biashara za mtaa. Mtaa wa Majengo ulikuwa ni jiji ndogo...
0 Reactions
28 Replies
7K Views
Naona Mzungu kaamua kutupoza na machungu, kaamua kuweka option ya 1up, wahini mapema kabla hajatoa hii option....odds zipo mlima sasa tushindwe wenyewe.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama channel za movie ni chache Sana, Cinema zetu yenyewe kuna kipindi ilikua nzuri walikua wanaweka single movie nzuri kuanzia asubuhi Hadi usiku, usiku ndio walikua wanaweka tamthilia za...
5 Reactions
53 Replies
2K Views
Masanja mmoja ni sawa na Kitenge, Hando na Zembwela. Masanja kaziba pengo mpaka mwanya na kashawafunika, ze comedy show yote kahamishia pale unacheka mwanzo mwisho. Big up Majizo kwa kuwa...
13 Reactions
87 Replies
5K Views
Unaweza kusikiliza muziki ukiwa offline backup Pia unaweza kudownload miziki aina yote ukija wewe ni kusikiliza tu bila bando Na pia kwa wanafunzi wa chuo unaweza kulipia elfu 3500 tu Kila...
3 Reactions
15 Replies
815 Views
Kamwene wakuu. Wale wadau wa simulizi na riwaya napenda niwakaribishe kufuatilia riwaya hii ya kusisimua inayoitwa 'Mkono wa Chuma', mtunzi wake akiwa ni ALEX KILEO. Karibuni wote... the Legend☆
17 Reactions
933 Replies
212K Views
Wasukuma ni watu wanaopenda sana utamaduni wao hasa katika suala la nyimbo. Ni kabila pekee hapa nchini Tanzania lenye waimbaji wengi pengine idadi yao ni kubwa hata kulingana na waimbaji wa...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Niaje wakuu??? Isivyo bahati mimi naenjoy zaidi mziki kwa mafungu kwaio Albums na EPs ndio mambo yangu, kibongo bongo ii ndio listi yangu ya Albums na EPs ninazopenda kuskiliza; 1. MBUZI -...
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Hii ni EP yangu Mimi Itakiamo AKA Dj Tamil nimeifanya kwa Artificial intelligence. Walioimba kwenye hizi nyimbo nitawapa majina ya kufikirika. List ya nyimbo 1. Kila Saa Dj Tamil ft Reygirl...
2 Reactions
18 Replies
688 Views
SHAMBA LA HELA Imetungwa na Godlove Kabati. WhatsApp 0763204351. SEHEMU YA KWANZA; FEROOUZ HAIR CUTS Bukoba, Kagera Jumamosi, saa kumi jioni. KITENDO cha kukatika kwa umeme kiliuzika...
3 Reactions
90 Replies
13K Views
https://www.tiktok.com/@lyndermatiko3/video/7120911507046534406
1 Reactions
20 Replies
520 Views
Q CHIEF NI CHORUS KILLER WA TAIFA. kupiga debe kwangu ilikuwa poa, Fani katika maisha ikaja kuniokoa Kwa radhi ya wazazi kijijini nikaoa Mke nilimshusha hadhi kuwa na machangudoa Mzimuni Family...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamii forum Leo naomba niwaletee kisa cha ukweli kilichotokea miaka kama 9-10 iliyopita wakati wa kuhangaika na Maisha, naomba nikiri mimi sio mtu wa kupost sana mara Nyingi ni...
38 Reactions
201 Replies
33K Views
Kuna nyimbo ukiplay in an intimate setting zina amplify the mood mara dufu. And one of the artists ambae anazipatia sana ni the weeknd. Na one of the best song ni: The Weeknd - Wicked Games
7 Reactions
86 Replies
17K Views
SEHEMU YA KWANZA MTUNZI: The Last Joker Mwanzo wake haukuwa na kelele nyingi. Saa tano za mchana, jua lilipokua limeyumba pembezoni mwa msitu wa Mtende, kulikuwa na ukimya wa ajabu. Kimya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom