LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,113
- 27,099
1. Bi Kidude ( Malkia wa Muziki wa Afrika Mashariki na Kati ) : Huyu ndio mtunzi na muimbaji wa kwanza wa wimbo Yalaiti . Msikilize hapa chini :
2. BI. Malika kutoka Mombasa Kenya : Mwanamama huyu Mkenya mwenye asili ya Somalia alikuwa mtu wa pili kuurudia wimbo wa Yalaiti.. Aliutendea haki. Sauti inabembeleza hiyo..usiposimama basi mguu wako utakuwa una kasoro.
3. Mwana FA feat Linah : MwanaFA akawa mtu wa wa tatu kuurudia wimbo huu. Ameutendea haki sana..
2. BI. Malika kutoka Mombasa Kenya : Mwanamama huyu Mkenya mwenye asili ya Somalia alikuwa mtu wa pili kuurudia wimbo wa Yalaiti.. Aliutendea haki. Sauti inabembeleza hiyo..usiposimama basi mguu wako utakuwa una kasoro.
3. Mwana FA feat Linah : MwanaFA akawa mtu wa wa tatu kuurudia wimbo huu. Ameutendea haki sana..