Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Filamu ya kipekee iitwayo "100 Years" ilitayarishwa mwaka 2015 lakini haitatolewa hadi mwaka 2115. Mradi huu, ulioongozwa na Robert Rodriguez na kuandikwa na kuigizwa na John Malkovich...
3 Reactions
9 Replies
368 Views
SIMULIZI. MSITU WA VIFO: MTUNZI. Dogoli kinyamkela ☠️💀. Songa nayo........ SEHEMU YA KWANZA: MLANGO USIOONEKANA Usiku ulikuwa mzito. Anga lilitapakaa mawingu meupe yaliyofunika mwezi kana...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Ni visa ambavyo vimewahi kufanya watu wanisikilize kwa umakini mkubwa, kuwa na hamu ya kuendelea kuwasimulia nilipoishia na kuniomba updates. Sioni haja tena ya kusimulia visa vyangu kama hakuna...
1 Reactions
8 Replies
631 Views
Wakuu, Kwenye haya maisha kwa kweli hamna kitu muhimu kama kujichagulia angle yako. Leo nilikutana na wimbo mmoja wa msiba wa Marehemu Komba. Kiukweli huyu jamaa alikuwa ni genius. Kuna ule...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Mwimbaji na mtunzi hodari wa zamani wa bendi ya Zaiko Langa Langa ya Congo Likinga Mangenza 'Redo' amefariki dunia nchini Ufaransa akiwa na umri wa miaka 59. Likinga alitamba na Zaiko Langa Langa...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa wapenzi wa Bollywood na matawi yake tungejikusanya hapa kupeana mawili matatu
2 Reactions
124 Replies
7K Views
Kama wewe ni mfuatiliaji sana wa muziki wa gospel Tanzania, kwa kuangalia video hii umemtambua nani ambae kwa sasa ni mwanamziki mkubwa sana hapa Tanzania hasa muziki wa injili (gospel Music)
0 Reactions
0 Replies
239 Views
Naam wale wapenzi wa series ya from Leo season 3 imeshatoka online link kama uliipenda msimu wa kwanza na wapili huu ni msimu wa tatu je wale viumbe wataendelee kisumbua je Boyd Steven atafanikiwa...
8 Reactions
397 Replies
37K Views
Nas - Ether What's up niggas, hey yo, I know you ain't talking 'bout me dog You, what? ("Fuk Jay-Z") You been on my dick nigga, you love my style, nigga ("Fuk Jay-Z") Fuk with your soul like...
1 Reactions
5 Replies
493 Views
Leo katika pitapita yangu wadau nnimekutana na moja ya website makini sana ambayo inahusika na maswala ya movie na series zilizotafasiliwa Nahitaji mnisaidie kunipatia majina mengine ya website...
0 Reactions
4 Replies
684 Views
Habari zenu wakuu. Niko hapa kuwaletea simulizi (2) Mbili nzuri za Maisha. Ili Kusikiliza simulizi hizi, bonyeza links hapa chini na zitakupeleka YouTube Simulizi ya Kwanza👇...
1 Reactions
0 Replies
506 Views
Nimekumbuka muvi za zamani kwa sisi ambao tumezaliwa kitambo kidogo, muvi zilikuwa za kuvutia sana huku tukipata burudani kutoka kwa maadui waliojijengea majina katika muvi mbalimbali. Binafsi...
6 Reactions
56 Replies
3K Views
Wakuu! Kuna mwenye wimbo uitwao OMBA OMBA wa Msanii mchekeshaji Bambo? Nimeutafta sana mtandaoni sijaupata. Ni wa kitambo.
0 Reactions
0 Replies
236 Views
Aisee huu wimbo uliimbwa jamani Jamani vinanda vilipigwa humu aisee Aisee Isha Mashauzi alijipanga akapangika jamani Ukauzu wangu wote wa kutopenda Taarabu hapa nimechemka, Naupenda huu wimbo na...
1 Reactions
0 Replies
275 Views
PENZI LA MFUNGWA Mtunzi : sharobaro la jf CONTACT : 0765168293 SEHEMU YA KWANZA-01 "Mwizi mwizii mwiziii..", mayowe yalisikika, mayowe amabayo yalisambaa kwa kasi ya ajabu usiku ule, kitendo...
9 Reactions
152 Replies
157K Views
Wakuu, Ni ukweli usiopingika kuwa Hiphop siku hizi imekuwa ni nyepesi mno tofauti na zamani Siku hizi bars zimekuwa nyepesi na hata staili ysa kuchana imebadilika mno. Leo kuna playlists moja...
5 Reactions
102 Replies
3K Views
Niaje wadau Nimepata ushawishi wa kwenda kuangalia na kucheza huu wimbo remix ya tetema yes 🙂OH MAMA TETEMA by rayvanny,Nora fatehi and Shreya Kutoka kwenye COMMENTS ZA watu mbalimbali pale mjini...
0 Reactions
1 Replies
328 Views
Kwangu SISU ni movie pendwa inaelezea refusing to give up, determination, extreme willpower and female empowerment.
3 Reactions
13 Replies
644 Views
Binti wa mwanamuziki Chris Brown, Royalty Brown mwenye miaka 11 kwa kushirikiana na Influencer wa mitandaoni Zachery Dereniowski ameamua kumzawadia mwanamama mmoja pamoja gari jipya na pesa...
0 Reactions
5 Replies
596 Views
Back
Top Bottom