RIWAYA: HUJUMA 1
MTUNZI: richard R. MWAMBE
UTANGULIZI
Tanzania inasonga katika nyanja ya sayansi na teknolojia, inapate uwezo wa kutengeneza silaha kubwa na za kisasa, vitu mbalimbali vya thamani...
RIWAYA:: MAISHA YANGU YA UVUVI
MTUNZI:: Author Mudhihili
SIMU:: 0652667153
LINDI-RUANGWA
SEHEMU YA KWANZA 01
ENDELEA..............
.................Niliweza kuishi Maisha ya tabu baada
ya...
RIWAYA: JOTO LA MSHUMAA
MTUNZI: MUDHIHILI MNALI
SIMU: 0652667153
LINDI-RUANGWA
SEHEMU YA KWANZA 01
Anza nayo...............
Ndani ya kijiji kimoja kijulikanacho kwa jina la
BWAWANI. Kwenye familia...
Hebu wakuu tuje hapa tujadili masuala mbalimbali.
Mbinu za uandishi, namna na sehemu za kupublish, masoko, hatimiliki nk.
mpasta, Chachasteven, Nelson Ntimba Mogambi Yericko Nyerere Six Man...
Mtunzi: Ally Katalambula
SEHEMU YA 01
Awali ya yote, namshukuru mwandishi wa mkasa huu, kaka Ally Katalambula, pamoja na mhariri wa gazeti la Champion ndugu John Joseph ambaye ameipa nafasi...
Mtunzi: Ally Katalambula
Sehemu ya 01
Katika dunia ya Mungu kuna mambo mengi ambayo ukihadithiwa unaweza kuona na simulizi ya kutunga na kusisimua. Lakini siku zote kila isifue mvua basi...
TUZO YA KISWAHILI YA MABATI-CORNELL YA FASIHI YA AFRIKA: 2021
Utaratibu wa Kushiriki
Tunafurahi kuwajulisha utaratibu wa kushiriki katika mashindano ya Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya...
Hayo yamesemwa na waziri wa habari Mh Innocent Bashungwa wakati kamati ya bunge ilipotembelea ofisi za TBC leo.
Waziri Bashungwa tiyari ameshatoa maelekezo suala la visimbuzi vya TBC vianze...
Mapigano yapi unaona director aliumiza kichwa?
Ride of Rohirrim kwenye Lords of the ring
300 spartans
The Hobbit the battle of five armies.
Kingdom of heaven battle for Jerusalem...
wakuu natumaini mko salama
mimi n mmoja wa watu wanaopenda sana kuangalia movies hasa za kizungu ,napendelea sana sana action movies
kuna baadhi ya vitu huwa vinaniumiza kupata fumbuz juu ya...
Habari zenu wadau
Kuna game la kivita nalitafuta lakini kibaya nikwamba silijui jina ila naamini humu kuna watu watalijua tu.
Liko hivi
shooter yuko kwenye helcopter juu(haitembei) chini kuna...
Najua wengi wetu tumecheza sana video games na bado wengine tunaendelea kucheza video games. Katika kucheza kwako games umewahi kucheza game zilizotengenezwa na kampuni ya EA SPORTS au KONAMI...
Baada ya kuwa mtoto niliyekataliwa na ndugu zangu wote mjini, sikuwa na kwingine kwa kwenda zaidi ya kuanza kufikiria kutorokea mtaani.
Kila mahali nilipodhani naweza kupata msaada ilishindikana...
Sipo hapa kushindanisha watu ila Anjela ft Harmonize bonge la wimbo huyu dem anajua kuimba sio kutoa sauti mdomoni na kufatisha midundo kama wale shaolin socer
Sent from my TECNO-W3 using...
Kutoka Tanzania namleta kwenu kijana mwenye upako wa tofauti ktk kumtumikia mungu kwa njia ya uimbaji na kufungua .
Artist; Michael john
song;Msaada wako
Ingia youtube kuona kazi yake nami...
Msanii wa Bongo flavor kutoka lebo ya Wasafi Rayvanny maarufu Vanny boy ametangaza jina la lebo yake ambayo ameipa jina NEXT LEVEL MUSIC.
Rayvanny sasa anakuwa msanii wa kwanza Tanzania kuwa na...
Clouds FM ilituhumiwa sana na inaendelea kutuhumiwa kuwanyonya wanamuziki kwa namna mbali mbali,
Lakin ukiangalia jinsi clouds FM walivyo pangilia vipindi vyao wana mashabiki na wadau wa rika...
Wana JF Umofia kwenu usiku wangu wa kuamkia tarehe hii 22/02/2019, Nimeutumia hapa Last Minute Lounge iliyopo sinza mori mbele ya La Chaaz njia ya kuelekea Wanyama Hotel.
Hakika ni usiku mzuri na...