Zaore moyo kanderia..,,maria ndewe
>Umechanganya dawa wewe!
Anayeongelewa hapa sio yule Mzimbabwe Mutukudzi, ni M-Gabon Oliver N'goma
ha haaa, kumbe tupo wengi....For real? jamani... RIP Oliver Ngoma
cc: EMT
Kumbe jamaa alikufa siku nyingi hivi???ha haaa, kumbe tupo wengi....
Mwali umeona huu uzi ni wa lini?
eti pamoja na kuwa mpenzi sana wa nyimbo zake lakini sikuwa najua kama alishakufa long time hivyo, lol!
afadhali sipo peke yangu
Kumbe jamaa alikufa siku nyingi hivi???
For real? jamani... RIP Oliver Ngoma
cc: EMT
ha haaa, kumbe tupo wengi....
Mwali umeona huu uzi ni wa lini?
eti pamoja na kuwa mpenzi sana wa nyimbo zake lakini sikuwa najua kama alishakufa long time hivyo, lol!
afadhali sipo peke yangu
hiyo accusation ya kuumwa naikubali kabisaaaaaaaa, wala sipingi.Hakyanani nyie mtakuwa mnaumwa.
Oliver Ng'oma, one of my all times African singers.
Shame hata sijui alikuwa anasema nini kwenye nyimbo zake lakini hizo beats, gitaa, basi tuu.
hiyo accusation ya kuumwa naikubali kabisaaaaaaaa, wala sipingi.
kweli eti sikuwa najua kama kafa, lol!
yaani kesho mtu angeniambia Oliver Ngoma anakuja kupiga uwanja wa taifa ningenunua tiketi..... kumbe.. mbuzi kwa gunia