Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 140
Jaman mwenye huo wimbo naomba anisaidie please
Akiwemo majani mwenyewe. Japo uwa haisemwi ila alikuwa anawanyonya pia.Umenikumbusha mbali mkuu, "mtamboni amekaa majani", Ngwair he was real talented and unique,he was genius of music, R.I.P MANGWEHA,walaaniwe walionyonya damu yako na kuduulumu jasho la kazi yako!!!
#team Bongo record#
Tuwekee hapa mkuuNinayo hii.. ndio wimbo pekee wa bongo flevor ambao ndani yake wasanii wa3 wote kwa pamoja wametangulia mbele za haki kwa nyakati tofauti, NGWEIR, GEEZ MABOV. CPWAA
Jaribu hiiTuwekee hapa mkuu
Tuwekee hapa mkuu