Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

VITA KALI INAYOENDELEA HOLLYWOOD Ukifika pale Marekani, sehemu moja iitwayo Hollywood, utakutana na vita moja kali sana kwenye masuala ya filamu, hivi vita ni za makundi matatu, ila kundi moja...
32 Reactions
34 Replies
5K Views
Sijui ni mimi tu au, ila naona kama nyimbo nyingi za Bongo Fleva ziku hizi fupi sana. Ni nadra kuona wimbo umezidi dakika 4. Nyingi zinaishia dakika 3 na nusu na nyingine hadi dakika 2 na...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu moja kwa moja kwenye hoja. Kwa muda sasa Baraza la Samaa Tanzania limekuwa likifungia nyimbo za wasanii lakini kwa kiasi kikubwa zikiwa ni za wasanii wanaoiponda serikali au viongozi wake...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakuu naomba tushirikishane quotes kali kutoka bongo movies.
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Hii beat hata ukiimba singeli watu hawasikilizi unachosema wanatambaa na beat tu[emoji41][emoji41]. Hii beat haijawahi kumtakaa mtu hata gospel uta-beng tu. Producer na muimbaji wa kwanza...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Wasafi TV na programu yao ya cheka tu wamefanya mapinduzi makubwa sana kwenye Stand Up comedy Tanzania. Wamezalisha vizazi vipya. Kwa sasa hawa ndiyo comedians wangu bora kabisa. 1. Mc Madevu...
3 Reactions
3 Replies
4K Views
Nawasalimu kwa JMT Dalili ya mvua mawingu, Yanga yawabingwa ligi kuu 21/22 mapema tu hata mzunguko wa kwanza haujaisha[emoji23][emoji23][emoji23], Pia vikombe vyote chin yake atabeba. Bado...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
On Air with Ryan Seacrest
1 Reactions
2 Replies
670 Views
Heshima kwenu wakuu...? Naomba msaada wa kujua huu Wimbo niliuskia kama miaka mitatu nyuma wakuu. Huu Wimbo ni Wimbo wa South Africa kama skosei, upo kimajonzi flani hivi, natumai kuna wadau...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Juzi Ijumaa nilibahatika nikawa Dodoma, kichwa kilikuwa kimechokaaa kwasababu nilienda Dodoma msibani, pia homa kali ilinianza ghafla, nikaazimia moyoni leo naenda kulala kanisani. yalipita magari...
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Ukiskiliza EP ya Rayvanny nyimbo zote ni kali na hakuna ngoma utaskip zote ziko poa na utatamani kuskiliza tena na tena. Rayvanny alitulia sana alivyoandika hizi ngoma mashairi yamenyooka kama...
7 Reactions
57 Replies
6K Views
Hivi huyu The Notorious BIG kwenye wimbo wa I got a story tell alikuwa anamzungumzia nani? Nimejaribu kuelewa anachozungumzia lakini wapi but kuna watu wanasema ni True Story. Wataalam wa Hiphop...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni chizi muziki napenda kila aina ya muziki najua mziki mzuri na mbaya. Tukianza na ushabiki mimi ni timu Diamond Yani Simba namkubali kindaki ndaki ata akifanyaga upuuzi huwa naona sawa...
4 Reactions
36 Replies
8K Views
American Top 40 with Ryan Seacrest
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Either him or whoever did that ni mwehu kweli. Nimecheki The Oval ya jamaa hadi episodes zilipoishia. Kiukweli huwezi tazama ile tamthilia na familia japo ni nzuri sana. Sasa kinachonishangaza...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Dar es Salaam, 18/11/2021; -NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Kayumba Asosie almaarufu 'Kayumba' ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake ya kwanza iliyobeba jina la ‘Sweet Pain’. EP hiyo imebeba...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Haya ni maneno aliyoyatamka Linda, binti wa pekee kwa wazazi wake. Baba yake alikua mlinzi wa majengo ya serikali kwa miaka mingi. Mama yake alikua mama wa nyumbani aliyejishughulisha na...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…