man pog
Member
- Apr 8, 2020
- 13
- 16
Mimi ni chizi muziki napenda kila aina ya muziki najua mziki mzuri na mbaya.
Tukianza na ushabiki mimi ni timu Diamond
Yani Simba namkubali kindaki ndaki ata akifanyaga upuuzi huwa naona sawa tu. Ila niwe mkweli tuu leo nimesikiliza album ya Harmonize aisee huyu jamaa ni noma katika nyimbo 17 nimependa nyimbo kama 10.
Mara nyingi wasanii wa bongo wakitoa album unaishia kupenda 3 mpaka 5. Yaani toka waanze kutoa maalubam yao ukiacha ile ya darasa basi hii itakuwa ya pili kuipenda.
Nimegundua kitu kwa Hamo, Harmonize hana sauti nzuri ya kuvutia ila ni fundi mzuri wa kucheza na melody. Ndo mana pia tunamuana anafanya vizuri kwenye amapiano na kwenye hii album amenisibitishia hilo kupitia nyimbo yake ya singeli alo imba kiingereza.
Na chakumalizia ni kwamba jamaa naona anaharibu tu kwenye video yaani anakuwa ajiongezi kabisa anashindwa hata na MARIOO.
Audio worldwide halafu video za kawaida.
Tukianza na ushabiki mimi ni timu Diamond
Yani Simba namkubali kindaki ndaki ata akifanyaga upuuzi huwa naona sawa tu. Ila niwe mkweli tuu leo nimesikiliza album ya Harmonize aisee huyu jamaa ni noma katika nyimbo 17 nimependa nyimbo kama 10.
Mara nyingi wasanii wa bongo wakitoa album unaishia kupenda 3 mpaka 5. Yaani toka waanze kutoa maalubam yao ukiacha ile ya darasa basi hii itakuwa ya pili kuipenda.
Nimegundua kitu kwa Hamo, Harmonize hana sauti nzuri ya kuvutia ila ni fundi mzuri wa kucheza na melody. Ndo mana pia tunamuana anafanya vizuri kwenye amapiano na kwenye hii album amenisibitishia hilo kupitia nyimbo yake ya singeli alo imba kiingereza.
Na chakumalizia ni kwamba jamaa naona anaharibu tu kwenye video yaani anakuwa ajiongezi kabisa anashindwa hata na MARIOO.
Audio worldwide halafu video za kawaida.