Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Ukiskiliza EP ya Rayvanny nyimbo zote ni kali na hakuna ngoma utaskip zote ziko poa na utatamani kuskiliza tena na tena. Rayvanny alitulia sana alivyoandika hizi ngoma mashairi yamenyooka kama vile sio jamaa from mbeya. EP imekamilika kila kitu kuanzia beats, Melody, Mixing, na lyric
Rayvanny ni moto wa kuotea mbali ni vile sio mtu wa makik. EP YA RAYVANNY ndo inaongoza then inafatia ya KING KIBA
Huyo mwingine ametoa Maronya hakuna kitu mule zaidi ya Kusema sema watu vijembe vya kijinga mtu mwenye akili timamu hawezi kuskiliza au kupoteza mda kuskiliza Album iliyojaa vijembe ( we neeed good music nothing else sio anatuimbia upumbavu wake ) watakao download hiyo album ni watu wajinga wajinga waliokosa Direction ila mtu mwenye kujitqmbua hawezi kuskiliza upumbavu
Rayvanny ni moto wa kuotea mbali ni vile sio mtu wa makik. EP YA RAYVANNY ndo inaongoza then inafatia ya KING KIBA
Huyo mwingine ametoa Maronya hakuna kitu mule zaidi ya Kusema sema watu vijembe vya kijinga mtu mwenye akili timamu hawezi kuskiliza au kupoteza mda kuskiliza Album iliyojaa vijembe ( we neeed good music nothing else sio anatuimbia upumbavu wake ) watakao download hiyo album ni watu wajinga wajinga waliokosa Direction ila mtu mwenye kujitqmbua hawezi kuskiliza upumbavu