Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Ifiatayoni nyimbo zangu nilizozisikiliza mara nyingi zaidi kwa mwaka huu 2020 Kutoka Tanzania nyimbo zangu bora mwaka huu ni.. Joh Makini ft Lady Jaydee _Kiwembe Darasa ft sho madjozi _ I like it...
4 Reactions
27 Replies
6K Views
Kwanini Mimi[emoji24][emoji24] ep [emoji2388][emoji2390][emoji1370][emoji1370] SIMULIZI YA MAISHA: KWANINI MIMI? 02 MWANDISHI : MIKA AUTHOR MSAMBAZAJI: Simulizi za Gilbert MAWASILIANO...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale wanangu wa Kustream movies, hii hapa ofa. Unapewa log in details za NETFLIX kwa mwezi mzima. Baadala ya kulipa 10,000/- , hapa utachangia kiasi kidogo tu. 6,000/-. Ofa ni kwa watu kumi wa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauliza tu kwa wale wanaomjua vizuri mtangazaji nguli wa Wasafi tv mh Baba Levo. CV yake Tafadhali!
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Wapenda masebene Bill Clinton toka Congo Huyu jamaa alikua vizuri sana. Tutu Calodji kajikata.(yuko vizuri sana) Alipoondoka Wenge kapotea. Fille Nyafu kapotea. Soleir Wanga kapotea Sabath...
0 Reactions
0 Replies
415 Views
Wakuu habari, Kuna movie naitafuta ila nimeshindwa kupata jina lake Naambatanisha picha za wahusuka kwenye movie hiyo basi kama utakuwa unaifahamu naomba unambie jina lake
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika mwaka 2021 ni movie gani umeipenda zaidi? Binafsi nimeipenda Dune niliisubiria kwa hamu na haijaniangusha.
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama mada inavyojieleza Nimefanikiwa kudownload series ya Strike Back kuanzia season ya 1 mpaka ya 5 (Legacy) nataka kuanzia season ya 6 (Retribution) hadi ya mwisho season 10 Naomba links...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninakipaji cha kuimba na kutunga nyimbo za gospel, tatizo sina mfadhili wa kuniwezesha kurekodi,hivyo naomba mtu anishirikishe hata kwenye nyimbo yake ili niweze kujitangaza
4 Reactions
4 Replies
1K Views
Tumekuwa tukiisubir Spiderman- No way Home kwa hamu sana sasa ijumaa hiyo hapo mzigo umefika Ijumaa hii ni premiere, wana JF na wapenzi wa Marvel kiujumla tusikose maana hamna wakati mzuri wa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Hawa jamaa walitamba sana kimuziki miaka ya 2005 pale mkoani Mbeya, waliwahi kurekodi nyimbo moja kwa MAJANI inayoitwa NIOKOENI. Kiongozi mkuu wa kundi hili alikuwa akiitwa Nabii Amos. hivi wako...
0 Reactions
2 Replies
816 Views
American Top 40 (December 11, 2021) =============================================== LW TW Artist-Title Peak So Far Weeks at #1 Weeks On 40 40 The Weeknd - Save Your Tears 01 [2 weeks @ #1] 49 39...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika muziki kuna miguso ya ajabu sana, yaani unaweza kusikiliza instrument(s) Fulani ukatekwa kabisa na kufanya uzidi kuupenda muziki husika. Hebu tutumie huu uzi kuzitaja hizo sehemu au...
7 Reactions
145 Replies
16K Views
Taarifa ya Msiba ilimfikia Watende kama taarifa ya kawaida isiyomuhusu ikitagazwa kupitia idhaa moja ya redio mjini Iringa wakati yeye akiwa ni mmoja wa abiria katika daladala moja likitokea eneo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tarehe 12 mwezi huu filamu mpya inayokwenda Kwa jina la RED NOTICE imeachiwa ikiwa imetengenezwa na NETFLIX. Filamu hii Una wataalam watatu wakali Dwayne Johnson, Ryan Reynolds na mwanadada Gal...
9 Reactions
21 Replies
3K Views
Habari watu wa taifa tukufu linalotetewa na timu ya Simba pekee kimataifa kila mwaka! Basi katika medali ya muziki hapa nchini na duniani kwaujumla ulishawahi kutokea kuupenda wimbo flani...
1 Reactions
6 Replies
932 Views
Nimekwazwa na kilichotokea kwa wasanii kufurumushwa uwanjani pasipo kutumbuiza na pia kuonekana kama watu waliokuwa wamevamia shughuli licha ya kuwavalisheni mavazi yenye uwiano wa rangi na jeshi...
0 Reactions
3 Replies
972 Views
Mwaka huu nimemuona John Cena kwenye movie mbili. Suicide Squad na vacation friend. Amejitahidi sana bado japo kufikia level za kina The Rock. Nadhani mchezo wa mieleka unawandaa vema sana...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habar wadau Money heist imetoka janq dea 3 sasa mwenye link naomba aweke nidownload nione profesq atqvyomalizana na captqin sagata Tokyo dead Helaink kaumia mguu Atockholm upo adicted...
2 Reactions
33 Replies
4K Views
Kuna umuhimu mkubwa wa kufundishwa diplomasia kwa kila mzungumzaji kwenye hadhira iliyo na watu wa mataifa mbalimbali. Unaweza kudhani unachekesha watu kumbe unaharibu. Public speaking is an...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom