nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 1,034
- 900
Kufuatia uteuzi uliofanywa na Ikulu ya Zanzibar kwa Charles Hillary kuteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Charles Hillary bado yupo kwa mwajiri wake Azam Media na muda huu anaendesha kipindi cha Charanga.