KUMEKUCHA TOT CHAMA CHA MAPINDUZI KUISUKA UPYA ILI IENDANE NA USHINDANI WA KIMUZIKI NCHINI
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, Jumatatu 27 Disemba 2021 amefanya ziara fupi Kutembelea na kuzungumza na watumishi wa CCM wa kikundi cha Sanaaa Tanzania One Theater (TOT) Kinondoni Mwinjuma Dar Es Salaam.
"Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan anatambua kuwa TOT ni moja kati ya Bendi kongwe nchini na yenye mchango mkubwa nchini, hivyo amelekeza kuhakikisha utendaji kazi wenu uwe wa viwango vya juu kwa kuwa na vyombo bora na mazingira mazuri ya utendaji kazi ili muweze kuandaa tungo zinazoishi katika kujenga hamasa zenye kuakisi uhai, ukomavu na uimara wa CCM" Alisema Shaka
"Leo Chama kupitia kwa Mwenyekiti wetu Rais Samia kimezidi kutujengea ari na kutupa matumaini makubwa juu ya kuimarishwa zaidi kwa bendi yetu na kuweza kutekeleza majukumu haya katika mazingira mazuri zaidi kama ilivyokua dhamira ya kuanzishwa kwake" Ndugu Gasper Tumaini Mkurugenzi mkuu wa Bendi
Bendi ya TOT ilianzishwa mwaka 1992 na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwa lengo la kuleta hamasa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi
Februari 5, mwaka 2022 CCM, itaadhimisha miaka 45 tangu kuanzishwa kwake Februari 5, mwaka 1977 baada ya kuunganishwa kwa vyama vya ASP na TANU.
#CCMImara
#KaziIendelee
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, Jumatatu 27 Disemba 2021 amefanya ziara fupi Kutembelea na kuzungumza na watumishi wa CCM wa kikundi cha Sanaaa Tanzania One Theater (TOT) Kinondoni Mwinjuma Dar Es Salaam.
"Mwenyekiti wa CCM Rais Samia Suluhu Hassan anatambua kuwa TOT ni moja kati ya Bendi kongwe nchini na yenye mchango mkubwa nchini, hivyo amelekeza kuhakikisha utendaji kazi wenu uwe wa viwango vya juu kwa kuwa na vyombo bora na mazingira mazuri ya utendaji kazi ili muweze kuandaa tungo zinazoishi katika kujenga hamasa zenye kuakisi uhai, ukomavu na uimara wa CCM" Alisema Shaka
"Leo Chama kupitia kwa Mwenyekiti wetu Rais Samia kimezidi kutujengea ari na kutupa matumaini makubwa juu ya kuimarishwa zaidi kwa bendi yetu na kuweza kutekeleza majukumu haya katika mazingira mazuri zaidi kama ilivyokua dhamira ya kuanzishwa kwake" Ndugu Gasper Tumaini Mkurugenzi mkuu wa Bendi
Bendi ya TOT ilianzishwa mwaka 1992 na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kwa lengo la kuleta hamasa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi
Februari 5, mwaka 2022 CCM, itaadhimisha miaka 45 tangu kuanzishwa kwake Februari 5, mwaka 1977 baada ya kuunganishwa kwa vyama vya ASP na TANU.
#CCMImara
#KaziIendelee