Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Wadau mwenye kuufahamu wimbo ambao beat lake hutumika kwenye kipindi cha Njia panda Clouds fm msaada wa jina lake tafadhali.
Dah Tanzania yanguuuu,Wewe ni nani Hadi uchoshe watu
Je,atakayefanikisha kupata huo wimbo ujira wake ni shilingi ngapi
Mbona JamiiForums hawajakutoza wewe hela ya kuwa humu?Wewe ni nani Hadi uchoshe watu
Je,atakayefanikisha kupata huo wimbo ujira wake ni shilingi ngapi
Hujalazimishwa mkuu ungeweza kupita tu na usingeweza kuathirika vyovyote.Download app ya Shazam kisha subiri hicho kipindi, utawasha data halafu utasogeza simu yako kari bu na speaker itakuletea jina na aliyeimba. Usichoshe watu humu
Mkuu una roho mbaya shetani anasubiri.Wewe ni nani Hadi uchoshe watu
Je,atakayefanikisha kupata huo wimbo ujira wake ni shilingi ngapi
Nchi ngumu hii mkuu.Dah Tanzania yanguuuu,
Kakusaidia vizuri unaleta nyodo, si ustaarabu huo.Hujalazimishwa mkuu ungeweza kupita tu na usingeweza kuathirika vyovyote.
Soma comment yake, ukitaka kumsaidia mtu usiweke kejeli vingnevyo bora usimsaidie.Kakusaidia vizuri unaleta nyodo, si ustaarabu huo.
Watu kama ninyi ndio nembo halisi ya binadamu, jambo laweza kuwa la kawaida kwako ila kwa mwenzio likawa na uhitaji mkubwa. Thanks for your responce
PoleSoma comment yake, ukitaka kumsaidia mtu usiweke kejeli vingnevyo bora usimsaidie.
Ni wimbo wa Bone Thugs & Harmony, unaitwa CrossroadsWadau mwenye kuufahamu wimbo ambao beat lake hutumika kwenye kipindi cha Njia panda Clouds fm msaada wa jina lake tafadhali.
Asante mpenziWatu kama ninyi ndio nembo halisi ya binadamu, jambo laweza kuwa la kawaida kwako ila kwa mwenzio likawa na uhitaji mkubwa. Thanks for your responce