Nani ana experience na hii kitu inaitwa 'FIXED ODDS'?

Nani ana experience na hii kitu inaitwa 'FIXED ODDS'?

Saidama

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2022
Posts
742
Reaction score
1,413
Wadau wa betting watakua wamenielewa. Kuna mtu aliwai kununua odds za namna hii na kwakua alikua hajui kubet, akaomba nimsaidie. Alinunua mechi mbili zikiwa na matokeo ya 2-1 & 2-0. Baada ya mechi matokeo yalikuja 2-1 & 2-1, mkeka ulichanika. Io ilifanya nione kama hii kitu ina ukweli mana sikuwai kuiamini kabla.

Ila sasa sijawai kukutana na mtu mwingine anaenunuaga hizi odds akanipa experience yake nika comfirm. Ila kwa ukubwa wa JamiiForums najua lazima kuna mabroo wameshafanya hili. Experience zenu tafadhali?
 
Hili swali tafuta uzi wa "Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mizigo" utajibiwa vema sana huko.
 
Achana nalo utapigwa mkuu. Kupata so ni kazi ngumu
 
Kwenye betting hakuna uhakika 100%

Mpaka odd ya 1.01 inachana mkeka.
 
Kwenye betting hakuna uhakika 100%

Mpaka odd ya 1.01 inachana mkeka.
Kuna hii inaitwa fixed odds. Watu wanatafuta gem wanaichanganua mpaka wanapata matokeo yatakayo patikana. Kisha izo gem wanaziuza. Cheki kama hii picha apa. Jamaa kabet mechi itaisha ngapi ngapi, kapiga pay. Na ni ishu inafanyika daily
IMG_20220719_162624_985.jpg
 
Kuna hii inaitwa fixed odds. Watu wanatafuta gem wanaichanganua mpaka wanapata matokeo yatakayo patikana. Kisha izo gem wanaziuza. Cheki kama hii picha apa. Jamaa kabet mechi itaisha ngapi ngapi, kapiga pay. Na ni ishu inafanyika dailyView attachment 2296631
Beting haina uhakika 100% mkuu.
Utapata leo, kesho utakosa
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom