Baba Wille
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 548
- 556
Wadau hapa Mbeya Jijini huwa mnaenda wapi? Mi mgeni naona pamekaa hovyo hovyo tuu sijui hata pa kuanzia. Please advice!
Tunaenda wapi kufanya nn?Wadau hapa Mbeya Jijini huwa mnaenda wapi? Mi mgeni naona pamekaa hovyo hovyo tuu sijui hata pa kuanzia. Please advice!
Inategemea unataka kwenda kufanya nini..!! kama kuangalia mpira saa hizi Sokoine pale hakuna mechi..!! Kama kununua mitumba, Mwanjelwa washafunga usiku huu..!!! Mafyurisi mida hii si Sokomatola wala Mwanjelwa utakakoyapata..!! Sema unataka nini ili wana wakupe location.Wadau hapa Mbeya Jijini huwa mnaenda wapi? Mi mgeni naona pamekaa hovyo hovyo tuu sijui hata pa kuanzia. Please advice!
Unajuwa hajasema anataka kwenda kufanya nini..!! Aseme kama ni dada poa aambiwe walikoKuna maeneo kama mbeya carnival... unaenda unaspend weekend yako vzur



Ila kweli...angekua specific ni Nini anataka muda huu




Tunaenda wapi kufanya nn?
Kwenda wapi kivipi?Sehemu huijui lakini unazodoa utadhani una jiji lako ulilojijengea mwenyewe!

Kuna maeneo kama mbeya carnival... unaenda unaspend weekend yako vzur
Vema.Basi,unapotaka uelekezwe uulize kiungwana.Swali ulilouliza kwa undani lilijaa dharau.Mkuu, jijini pangu ni Dar sasa huku mkoani kidogo ni technical, jijini ukishafika kitambaa cheupe umemaliza ila hapa ni shida!![]()
😅😅Kwenda wapi kivipi?Sehemu huijui lakini unazodoa utadhani una jiji lako ulilojijengea mwenyewe!
Huyu ni muhayaKwenda wapi kivipi?Sehemu huijui lakini unazodoa utadhani una jiji lako ulilojijengea mwenyewe!
Siyo mjanja huyo.Wajanja huwa wanaenda kwa hisia na kunusa.Utashtukia tu anachotaka anacho tayari au kama ni eneo la burudani kafika.Uendapo sehemu unatakiwa upate "michoro" kabla haujafika huko.Huyo bado mchanga sana.Mwisho atauliza ugali wanauza wapi!Unajuwa hajasema anataka kwenda kufanya nini..!! Aseme kama ni dada poa aambiwe waliko
Una ufala mwingi sana kijanaMkuu, jijini pangu ni Dar sasa huku mkoani kidogo ni technical, jijini ukishafika kitambaa cheupe umemaliza ila hapa ni shida!![]()