Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Inasemekana nguli wa muziki wa Rhumba Francois Lwambo Makiadi aliachia zaidi ya nyimbo 1000 akishirikiana na bend Yake ya Tout Puisant Ochestra Kinshasha ( T.P.O.K). Kusema ukweli wengi wengi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Baada ya kusikiliza Singeli, Taarabu na Vijembe kwa miaka takriban Sita hii RnB niliyoanza kuisikia sasa ni njema na good for a change.... Sijajua kama ni kweli RnB ni bora kuliko zile kelele...
1 Reactions
6 Replies
875 Views
Is it the bodyguards around you? Is it the high walls where you live? Or is it the men with the gun around you Twenty four hours a day That make you ignore the crying of the people? Farmers get...
1 Reactions
0 Replies
480 Views
๐—ง๐—›๐—˜ ๐— ๐—ข๐——๐—˜๐—ฅ๐—ก ๐—ช๐—”๐—ฅ (๐—ฉ๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐˜€๐—ฎ) ๐— ๐˜๐˜‚๐—ป๐˜‡๐—ถ:๐˜€๐—ฎ๐˜‚๐—น ๐—ฑ๐—ฎ๐˜ƒ๐—ถ๐—ฑ ๐—ช๐—ต๐—ฎ๐˜๐˜€๐—ฎ๐—ฝ: 0756862047 ๐—จ๐—ง๐—”๐—ก๐—š๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ญ๐—œ... "Mwanzo ilikuwa ni vita rahisi sana, vita dhidi ya ndugu yangu wa damu aliyeenda kinyume na kanuni za maisha...
1 Reactions
68 Replies
37K Views
Shaloom wakuu, Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's...
32 Reactions
146 Replies
40K Views
"Hakuna njia nzuri na rahisi ya kushoot scene za namna hii. Ila lengo kuu ni kuhakikisha wahusika wameridhika na wako comfortable na tukio. Tunawapa actors uchaguzi wa kuachana na kuondoka kama...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Niseme tu kwa upande wangu ile filamu ilikuwa bora sana. Waigizaje wake walivaaa uhusika vema pia director alijitahidi. Ile kwa mm ndio project na tamthilia bora toka nchini kwetu. Huwezi...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Naombeni hii series Jamani
0 Reactions
2 Replies
373 Views
Baada ya kufariki kwa kushtukiza kwa rapa namba mbili wa Wenge BCBG yake JB Mpiana aitwae Faustine Nzinga Yankobo (jina la Kimuziki CELLULAIRE) ilichukua muda mrefu kumpata mrithi wa kumsaidia...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Jamaa kaandika sana, ni kama kaandika kitabu cha kukufundisha njia za mafanikio. Jamaa ni MWAMBA KWELI.[emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487] Ngoma yake ya Makasia ina vigezo vyote vya...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nasikia Kiingilio ni Bure na Bia nazo ni bure kwa idadi uitakayo halafu Wanawake wote wanatakiwa Kuvaa Madela ila ndani wawe Watupu tu Vile vile Watumbuizaji wakuu ni Christian Bella na Mboso na...
15 Reactions
38 Replies
3K Views
Habarini za saa hizi ndugu zangu!! Natumai afya zenu ziko salama kabisa Ngoja niende tu moja kwa moja kwenye mada husika. Hili swali linanipaga utata kidogo maana naonaga tu akina fulani...
0 Reactions
2 Replies
325 Views
Kama hujui hip hop au Kama umeujua muziki baada ya Diamond au kama umejua muziki wa hip hop baada ya kumsikia Nikki mbishi au Songa basi naomba uachane na huu uzi Maana itakuwa hujui nyimbo...
5 Reactions
41 Replies
8K Views
Familia zinazotumia NETFLIX majumbani kuweni makini kwani propaganda za ushoga zimeshamili ili kuandaa watu kisaikolojia ususani watoto wetu. Ushoga umeingizwa hadi kwenye cartoons za watoto...
0 Reactions
0 Replies
480 Views
Rapa huyo aliyebadili jina na kujiita 'Ye', ametangaza nia hiyo licha ya kufanya vibaya katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka wa 2020 aliopata Kura 60,000 kati ya Milioni 158.4 zilizopigwa. Katika video...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
imesisikitisha sana hii series maana niliingojea kwa hamu. Jamaa wamechukua story nzuri na kuiharibu kabisa. Uigizaji mbovu scenes nyingi za kitoto sana. pengine labda huko mbele itabadilika...
4 Reactions
18 Replies
2K Views
Amkeeniiiiii
0 Reactions
5 Replies
619 Views
Nawasalimu Great Thinkers, Kama kuna watu waliojaliwa vipaji na wamevitumia ni hawa jamaa wawili Diblo Dibala na Dally Kimoko, hawana utani wanapokamata mpini, mfano Diblo Dibala (Extra Boy)...
5 Reactions
376 Replies
96K Views
Nikiwa nasikiliza nyimbo hizi machozi hunitoka machoni, na kuona Dunia ni bure kabisa na ninahisi uwepo wa Mungu ndani yangu. 1. Matendo ya Mungu Hii beti hii; "Na kama Eliya upesi kabisa...
0 Reactions
1 Replies
589 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ