Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 12,417
- 19,442
Baada ya kusikiliza Singeli, Taarabu na Vijembe kwa miaka takriban Sita hii RnB niliyoanza kuisikia sasa ni njema na good for a change....
Sijajua kama ni kweli RnB ni bora kuliko zile kelele (Singeli) ila huenda masikio yangu yalikuwa yamechoka na hii tofauti naiona ni bora zaidi kutokana na kilichopita....
Nadhani hata kwa wapenda singeli sidhani kama wanaweza au wangeweza kuisikiliza mfululizo..., Kweli Change is Good....
Sijajua kama ni kweli RnB ni bora kuliko zile kelele (Singeli) ila huenda masikio yangu yalikuwa yamechoka na hii tofauti naiona ni bora zaidi kutokana na kilichopita....
Nadhani hata kwa wapenda singeli sidhani kama wanaweza au wangeweza kuisikiliza mfululizo..., Kweli Change is Good....