Mdogoangu Chibu umeyakanyaga kwa hasira zako za kupigwa moja pointi saba bilioni na wewe ukaamua kuwasema kiaina hivi na kusahau kwamba na huko utawalani kuna watu wenye miakili mingi kama wewe au...
1 Timothy 6:1-2 say
Teach these truths, Timothy
encourage everyone to obey!
Christians who are slaves
should give their masters full respect
so that the name of God
And his teaching will not be...
wakuu kama kichwa cha habari apo juu kinavyo jieleza mwenye Series kati ya izo mbiri apo juu Zilizo tofasiliwa msaada tafazari. wengine kipindi wenzetu wapo darasani sisi tulikuwa tunajificha...
Karibu kuweka Memes Yako au Ambayo imekuhamasisha kwa namna moja au nyingine.
Ni idea yoyote ambayo ipo katika mfumo wa Picha au Video.
Hii ni sehemu ya kupata Furaha, Hamasa, Elimu, na burudani...
Mwanamke anayejiamini huonekana wa Tofauti katikati ya wanawake wengi...
Silaha pekee kubwa anayopaswa kuivaa mwanamke yoyote ni CONFIDENCE...Mwanaume anapoangalia Sifa za nani anapaswa kuwa...
Duh haya mashairi mazuri ya mwanamuziki Diamond kwenye wimbo yatapita yanatukumbusha msoto majeraha kipindi cha mwendazake aisee watu waliteseka balaa matajiri wakafirisiwa, watu waliuawa hovyoo...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Karibuni tena.
Kwa tahadhima, ninaomba nijibu mahitaji ya watu juu ya mfululizo huu wa 'nyuzi' za visa vya filamu kwa kutuma uzi huu wa...
Nimeona katika miaka ya hivi karibuni wasanii na creators wengine wa mambo ya miziki na audio wamejiwekeza sana huko tofauti na zamani. Naomba kujua ni vipi hizi kampuni zinalipa wadau wake na wao...
VICHEKESHO VYA SIKU
1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!
2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.
3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport...
Jumapili ya February 5, 2023 itakuwa ni siku ya utoaji tuzo za #GRAMMYs na hawa ndio mastaa waliothibitishwa kutoa burudani usiku huo, Bad Bunny, #MaryJBlige, Brandi Carlile, Luke Combs, Steve...
Hii movie ni kali sana ukiiangalia kwa makini.
Inaanzia wachungaji wawili mume na mke wanahubiri mtaani wakitembea, halafu kuna mabinti watatu kama sijakosea wanaanza kuwacheka wale wachungaji...
Moses Nakintije Ssekibogo, maarufu kama Mowzey Radio, alikuwa Mwanamuziki wa Kundi la GoodlyfeCrew, pamoja na Weasel Manizo, waliotamba na nyimbo nyingi ikiwemo Breadandbutter
Mowzey Radio...
Jamaani enzi zile watu naona tuliinjoy Sana ukilinganisha na mziki wa kizazi kipya. Mfano Leo nilikuwa nimekaa sehemu nakuta DJ ameweka mziki wa bendi ya Sasa Kamanyola wakiwa na Maestro King...
Kama wewe ni shabiki wa Filamu za Bad Boys, jiandae kwa ujio mwingine wa #BBIV. Jarida la #Variety limeripoti ujio wa Filamu hiyo na tayari iko katika utayarishaji wa awali kupitia kampuni ya Sony...
Licha ya Wadau wa Burudani kufurahia #Beyoncé kurejea jukwaani baada Miaka 5, baadhi wameoneshwa kutofurahishwa na Nyota huyo kutumbuiza katika Nchi yenye Sheria kali dhidi ya Wapenzi ya Jinsia...
Taasisi ya CINT inayofanya kazi ya Utetezi, Uzengezi na Uwezeshaji, Kuwaunganisha Wasanii na Taasisi zao na Kuzungumza kwa niaba ya Sekta ya Ubunifu Tanzania katika maeneo ya Sera, Fedha, Sheria...
Hawa ni The best Niger female Actress.
Kwa wale wapenzi wa movie za Nigeria mtakuwa mnawafahamu Kwa uzuri Hawa Wadada.[emoji276][emoji276]
Mshana Jr DeepPond
This Pdf concerns the book of Proficies written by Frenchman author Nostradamus in the year of 1500's.To share his experience of what will happen in the future up to year 3200.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.