Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mdogoangu Chibu umeyakanyaga kwa hasira zako za kupigwa moja pointi saba bilioni na wewe ukaamua kuwasema kiaina hivi na kusahau kwamba na huko utawalani kuna watu wenye miakili mingi kama wewe au...
3 Reactions
7 Replies
903 Views
1 Timothy 6:1-2 say Teach these truths, Timothy encourage everyone to obey! Christians who are slaves should give their masters full respect so that the name of God And his teaching will not be...
0 Reactions
2 Replies
433 Views
wakuu kama kichwa cha habari apo juu kinavyo jieleza mwenye Series kati ya izo mbiri apo juu Zilizo tofasiliwa msaada tafazari. wengine kipindi wenzetu wapo darasani sisi tulikuwa tunajificha...
5 Reactions
13 Replies
686 Views
Karibu kuweka Memes Yako au Ambayo imekuhamasisha kwa namna moja au nyingine. Ni idea yoyote ambayo ipo katika mfumo wa Picha au Video. Hii ni sehemu ya kupata Furaha, Hamasa, Elimu, na burudani...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Mwanamke anayejiamini huonekana wa Tofauti katikati ya wanawake wengi... Silaha pekee kubwa anayopaswa kuivaa mwanamke yoyote ni CONFIDENCE...Mwanaume anapoangalia Sifa za nani anapaswa kuwa...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Duh haya mashairi mazuri ya mwanamuziki Diamond kwenye wimbo yatapita yanatukumbusha msoto majeraha kipindi cha mwendazake aisee watu waliteseka balaa matajiri wakafirisiwa, watu waliuawa hovyoo...
1 Reactions
1 Replies
729 Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Karibuni tena. Kwa tahadhima, ninaomba nijibu mahitaji ya watu juu ya mfululizo huu wa 'nyuzi' za visa vya filamu kwa kutuma uzi huu wa...
10 Reactions
77 Replies
8K Views
Nimeona katika miaka ya hivi karibuni wasanii na creators wengine wa mambo ya miziki na audio wamejiwekeza sana huko tofauti na zamani. Naomba kujua ni vipi hizi kampuni zinalipa wadau wake na wao...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Hakika hii ndio best app kwa music. Inatoa bonus, na reward pia unapata. Kama airtime. [emoji1] [emoji1] [emoji2] nan kama BOOMPLAY???
1 Reactions
1 Replies
2K Views
VICHEKESHO VYA SIKU 1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted! 2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate. 3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport...
0 Reactions
1 Replies
673 Views
Jumapili ya February 5, 2023 itakuwa ni siku ya utoaji tuzo za #GRAMMYs na hawa ndio mastaa waliothibitishwa kutoa burudani usiku huo, Bad Bunny, #MaryJBlige, Brandi Carlile, Luke Combs, Steve...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii movie ni kali sana ukiiangalia kwa makini. Inaanzia wachungaji wawili mume na mke wanahubiri mtaani wakitembea, halafu kuna mabinti watatu kama sijakosea wanaanza kuwacheka wale wachungaji...
1 Reactions
3 Replies
546 Views
Moses Nakintije Ssekibogo, maarufu kama Mowzey Radio, alikuwa Mwanamuziki wa Kundi la GoodlyfeCrew, pamoja na Weasel Manizo, waliotamba na nyimbo nyingi ikiwemo Breadandbutter Mowzey Radio...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamaani enzi zile watu naona tuliinjoy Sana ukilinganisha na mziki wa kizazi kipya. Mfano Leo nilikuwa nimekaa sehemu nakuta DJ ameweka mziki wa bendi ya Sasa Kamanyola wakiwa na Maestro King...
4 Reactions
12 Replies
724 Views
Kama wewe ni shabiki wa Filamu za Bad Boys, jiandae kwa ujio mwingine wa #BBIV. Jarida la #Variety limeripoti ujio wa Filamu hiyo na tayari iko katika utayarishaji wa awali kupitia kampuni ya Sony...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Licha ya Wadau wa Burudani kufurahia #Beyoncé kurejea jukwaani baada Miaka 5, baadhi wameoneshwa kutofurahishwa na Nyota huyo kutumbuiza katika Nchi yenye Sheria kali dhidi ya Wapenzi ya Jinsia...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Taasisi ya CINT inayofanya kazi ya Utetezi, Uzengezi na Uwezeshaji, Kuwaunganisha Wasanii na Taasisi zao na Kuzungumza kwa niaba ya Sekta ya Ubunifu Tanzania katika maeneo ya Sera, Fedha, Sheria...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Hawa ni The best Niger female Actress. Kwa wale wapenzi wa movie za Nigeria mtakuwa mnawafahamu Kwa uzuri Hawa Wadada.[emoji276][emoji276] Mshana Jr DeepPond
2 Reactions
35 Replies
4K Views
This Pdf concerns the book of Proficies written by Frenchman author Nostradamus in the year of 1500's.To share his experience of what will happen in the future up to year 3200.
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Back
Top Bottom