Angalizo: Kabla ya kuanza nitoe angalizo na maoni kidogo. Ila pia nianze kwa kuomba samahani kukatisha riwaya iliyopita kwa wale ambao mlikuwa mnaifuatilia uwanja wa mauaji.
Sababu ni nyingi na...
Simulizi: NGUVU YA MAPENZI
Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE
Imeletwa kwenu na: BURE SERIES
SEHEMU YA 1
Mdada mmoja mrembo sana aliyeitwa Angel alionekana siku hii akiwapeleka wadogo zake kuripoti...
Sehemu ya kwanza
Kwa Mary Robert.2010
Nayajua mengi kwakuwa nimempa kila mtu nafasi ya kuwa mwalimu wangu,,kila mtu hunifunza kwa
yale atakayo,,naheshimu kauli na mawazo ya wote kwa uzito sawa...
Ilikua Siku kama ya leo mwaka 2019 pale familia,wadau,na wapenzi wa muziki wa hip-hop tulikumbwa na majonzi kufuatia taarifa ya kifo Cha msanii kingzilla (king of freestyle bongo.)
Godzilla...
Nimekuwa Muhudhuriaji wa Night clubs mbalimbali hapa kwenye jiji la makala Na Jiji moja kule kaskazini mwa Tanzania.
Imeibuka Tabia ya Madj wetu wanaoburudisha mioyo yetu kupiga nyimbo za Dini...
Hi 👋
Ningependa kushea orodha yangu ya nyimbo bora walizoshirikishana wasanii wa bongo ambazo hazichuji hata ikipigwa leo hii lazima uipende. Naruhusu kurekebishwa penye makosa, lakini pia nipende...
Msanii dimond platnumz ametoa kibao kipya kinachokwenda kwa jina la zuwena...wimbo mzuri sikatai ila kwa maoni yangu mimi binafsi ilikuwa sio lazima kuita zuwena...angeita hata Antonia tu...
RIWAYA; DOA
-----1-----
Ulikuwa ni muda sahihi kwa kila mmoja
kurejea nyumbani, muda ambao jua lilikuwa
limeanza kuiacha Mashariki yake na kwenda
kwa mchepuko wake bi. Magharibi. Harakati...
Kulingana na mchango wake mkubwa katika kuukuza muziki wa kizazi kipya napendekeza msanii mkongwe Chidi Benzi apatiwe PhD ya heshima sasa akiwa hai kama alivyopatiwa Babu Tale
Kwenu EA Radio
Binafsi ni msikilizaji wenu mzuri wa vipindi vya Superbreakfast na EA Drive.
Sijui ni sababu gani hasa imefanya kuwaondoa Evans Bukuku, Bobby Mongi na Chris Lugoe katika kipindi...
Dizasta vina hatia 1V.(hatia ya nne)
Hii kwangu ndio ngoma bora zaidi kutoka kwa Dizasta, Sijaona ngoma ya Dizasta inayoweza kukaa juu ya hiyo. Sio Mwanajua,Shahidi,Kikaoni wala Kibabu...
Hapo zamani za kale, katika kijiji kidogo kilichokuwa milimani, kuliishi mwanamke mmoja aliyeitwa Mariamu. Mariamu alikuwa mtu mwenye fadhili na mpole, aliyependwa na watu wote kijijini. Hata...
Habari nilikua naomba msaada wakupata qaswida ya Al Madrasat Raufu Rahim inaitwa zawadi nimeangaika sana YouTube sijapata naomba mwenye nayo anitumie 0693620048 wsp
RIWAYA; MWIBA WA CHUMA.
Na; Bahati Kisarwa Mwamba.
Simu; WhatsApp 0658564341
1.
Siku kwake ilikuwa inaelekea kuisha vema. Jioni ya siku hiyo aliamua kuimalizia kwa...
Mkali wa Bongo Flava, Toto Bad a.k.a Marioo ameshare picha ya Plaque kutoka Boomplay zikionesha idadi ya watu usikilizwaji wa albam yake pamoja na wimbo wa Mi Amore ambao umepata streams Milioni...
Ni bora nijuue kuliko haya yatayo nifika, nitakufa kikatili na kupoteza kila kitu nilichokipigania kwa jasho na vitisho ( Vera aliongea na moyo wake akiwa kwenye basi akitokea wilaya ya handeni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.