Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,878
- 1,849
Angalizo: Kabla ya kuanza nitoe angalizo na maoni kidogo. Ila pia nianze kwa kuomba samahani kukatisha riwaya iliyopita kwa wale ambao mlikuwa mnaifuatilia uwanja wa mauaji.
Sababu ni nyingi na siwezi kuzitaja zote!! Ieleweka tu, Uwanja wa mauaji haitaweza kuendelea na ndiyo maana ili kulipa na kuonesha ninajali nimeamua, kwa moyo mmoja, kuwaletea hii nyingine.
Sehemu ya kwanza itakuwa hewani usiku ambapo nitafuta haya maelezo. Halafu kuanzia kesho asubuhi nitaweka sehemu mbili mbili.
Yaani moja asububi na nyingine jioni. Ahsanteni kwa kunielewa.
SEHEMU YA KWANZA (Post ya nne) : RIWAYA: Kesho iliyoondoka (Gone Tomorrow)
Sababu ni nyingi na siwezi kuzitaja zote!! Ieleweka tu, Uwanja wa mauaji haitaweza kuendelea na ndiyo maana ili kulipa na kuonesha ninajali nimeamua, kwa moyo mmoja, kuwaletea hii nyingine.
Sehemu ya kwanza itakuwa hewani usiku ambapo nitafuta haya maelezo. Halafu kuanzia kesho asubuhi nitaweka sehemu mbili mbili.
Yaani moja asububi na nyingine jioni. Ahsanteni kwa kunielewa.
SEHEMU YA KWANZA (Post ya nne) : RIWAYA: Kesho iliyoondoka (Gone Tomorrow)