Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,976
- 2,173
Natoa rai kwa mamlaka husika (Wizara ya utamaduni na michezo, Baraza la ssna ka taifa, TCRA etc) kufuatilia kwa umakini maudhui ya Kitimtim comedy inayoneshwa kwenye chanel 160 DSTV/Multichoice.
Wameanza kuongelea mambo ya kufanya ngono kwa uwazi hadi inatia aibu mzazi kuangalia skiwa na watoto au wajukuu wake. Kipindi cha jana tarehe 15/05, kuna episode wahusika wawili wanaagizwa waingie ndani wapeane haki yao ya ndoa. Mara mhusika mmoja anasema hajatahiriwa, mara wasanii wengine huku nje wanashabikia walioko ndani wafanye ngono haraka.
Haya yote yanafanyika wakati Wizara ipo, Baraza la Sanaa lipo, na TCRA wapo.Very sarcastic and un professional.
Wameanza kuongelea mambo ya kufanya ngono kwa uwazi hadi inatia aibu mzazi kuangalia skiwa na watoto au wajukuu wake. Kipindi cha jana tarehe 15/05, kuna episode wahusika wawili wanaagizwa waingie ndani wapeane haki yao ya ndoa. Mara mhusika mmoja anasema hajatahiriwa, mara wasanii wengine huku nje wanashabikia walioko ndani wafanye ngono haraka.
Haya yote yanafanyika wakati Wizara ipo, Baraza la Sanaa lipo, na TCRA wapo.Very sarcastic and un professional.
