Rajab Endless
Senior Member
- Oct 2, 2019
- 121
- 167
Mi nimfataliaji mzuri wa vipindi vya michezo kwa vituo vya redio hapa nyumbani, mara nyingi huwa nafatlia Sports Arena ya Wasafi Fm, Sports Hq ya Efm na mara moja moja kipindi cha michezo cha RFA.
Katika vipindi vyote hivyo naona kipindi cha EFM Sports Hq Wachambuzi pamoja na Host wa kipindi hicho wamekua wakivutana sana kuhusu mijadala wanayoweka mezani hasa inayohusisha vilabu vyetu viwili vikubwa hapa nchini...
Wachambuzi na Ma-host wa kipindi wamekua wakitawalia na hisia za mapenzi kwa vilabu vyao pindi wanapokua wakichambua au kuuliza maswali kuhusu vilabu hivyo...
Ni Mimi tu ndio naona hivi au kuna wengine mnaona kama nionavyo mie...?
Katika vipindi vyote hivyo naona kipindi cha EFM Sports Hq Wachambuzi pamoja na Host wa kipindi hicho wamekua wakivutana sana kuhusu mijadala wanayoweka mezani hasa inayohusisha vilabu vyetu viwili vikubwa hapa nchini...
Wachambuzi na Ma-host wa kipindi wamekua wakitawalia na hisia za mapenzi kwa vilabu vyao pindi wanapokua wakichambua au kuuliza maswali kuhusu vilabu hivyo...
Ni Mimi tu ndio naona hivi au kuna wengine mnaona kama nionavyo mie...?