Akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyingi anahamasisha mambo yasiyofaa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii.
Ombi kwake na kwa viongozi wake, sisi kama wananchi tunafahamu anafanya biashara ya muziki lakini tunamtaka ajikite kuelimisha na kujenga zaidi jamii kuliko kuporomoa.
Narudia tena kusema nyimbo zake zinaporomoa maadili zaidi kuliko kujenga, yeye na timu yake wanachojali ni kutengeneza pesa tu hawajali kama wanabomoa maadili.
Ombi kwake na kwa viongozi wake, sisi kama wananchi tunafahamu anafanya biashara ya muziki lakini tunamtaka ajikite kuelimisha na kujenga zaidi jamii kuliko kuporomoa.
Narudia tena kusema nyimbo zake zinaporomoa maadili zaidi kuliko kujenga, yeye na timu yake wanachojali ni kutengeneza pesa tu hawajali kama wanabomoa maadili.