Nyimbo za Diamond ni chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,275
7,840
Akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyingi anahamasisha mambo yasiyofaa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii.

Ombi kwake na kwa viongozi wake, sisi kama wananchi tunafahamu anafanya biashara ya muziki lakini tunamtaka ajikite kuelimisha na kujenga zaidi jamii kuliko kuporomoa.

Narudia tena kusema nyimbo zake zinaporomoa maadili zaidi kuliko kujenga, yeye na timu yake wanachojali ni kutengeneza pesa tu hawajali kama wanabomoa maadili.
 
akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyinge anahamasisha mambo yasiyo faa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii.

Ombi kwake na kwa viongozi wake, sisi kama wananchi tunafahamu anafanya biashara ya muziki lakini tunamtaka ajikite kuelimisha na kujenga zaidi jamii kuliko kuporomoa.

Narudia tena kusema nyimbo zake zinaporomoa maadili zaidi kuliko kujenga, yeye na timu yake wanacho jali ni kutengeneza pesa tu hawajali kama wanabomoa maadili.
unaskilizaga?
 
Kazi kuu za shetani ni kuchinja, kuua na kuangamiza nafsi za watu. Huyo jamaa na genge lake ni waabudu mashetani walishauza nafsi zao kwa lucifer long time. Na siku hizi hajifichi, hata kwenye baadhi ya show zake huonyesha ushetani tupu.
 
akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyinge anahamasisha mambo yasiyo faa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii.

Ombi kwake na kwa viongozi wake, sisi kama wananchi tunafahamu anafanya biashara ya muziki lakini tunamtaka ajikite kuelimisha na kujenga zaidi jamii kuliko kuporomoa.

Narudia tena kusema nyimbo zake zinaporomoa maadili zaidi kuliko kujenga, yeye na timu yake wanacho jali ni kutengeneza pesa tu hawajali kama wanabomoa maadili.
Mfano Panya Rodi na machangu wa buguruni wamnemomonyolewa na wimbo gani?
 
akiwa kama mwanamuziki maarufu na anayekubalika zaidi, nyimbo zake nyinge anahamasisha mambo yasiyo faa kwenye maadili, nyimbo zake nyingi zinabomoa zaidi jamii kuliko kujenga jamii.

Ombi kwake na kwa viongozi wake, sisi kama wananchi tunafahamu anafanya biashara ya muziki lakini tunamtaka ajikite kuelimisha na kujenga zaidi jamii kuliko kuporomoa.

Narudia tena kusema nyimbo zake zinaporomoa maadili zaidi kuliko kujenga, yeye na timu yake wanacho jali ni kutengeneza pesa tu hawajali kama wanabomoa maadili.
Mtu mwenyewe Diamond! Mtoto wa mtaani japo alikuwa na wazazi! Kalelewa mitaa ya kariakoo na kukulia tandale! Kwenye fikra zake mambo yote ya hovyo yasiyokuwa na staha kwake anaona ni fasheni na kwenda na wakati huku akitafuta kitu wanaita "kick". Sasa kaanzisha kituo cha TV "wasafi TV" ndo anasambaza upotovu kwa vijana! Fuatilia mahojiano kwenye wasafi TV wanaongelea mambo ya ngono! Tatizo watu wenye uwezo wa kutenda mema hawajitokezi na kutoa mwanya kwa waovu kuvuma!
 
Hivi unazijua nyimbo za kuelimisha?

Bila shaka! Hapa kuna mistari ya wimbo wa kuelimisha kuhusu kilimo:

(Chorus)
Tutimize malengo yetu, kilimo chetu ni jibu,
Tufuate mbinu bora, tuwe na mavuno bora pia.

(Verse 1)
Shamba letu ndilo maisha yetu, tuitunze ardhi,
Tuchague mbegu bora, tutunze mimea, hakuna haraka.

(Chorus)
Tutimize malengo yetu, kilimo chetu ni jibu,
Tufuate mbinu bora, tuwe na mavuno bora pia.

(Verse 2)
Mbolea na maji, vyote muhimu kwa mafanikio,
Tupande mimea kwa upendo, tutapata mavuno bora.

(Chorus)
Tutimize malengo yetu, kilimo chetu ni jibu,
Tufuate mbinu bora, tuwe na mavuno bora pia.

(Verse 3)
Tutunze mazingira, tuache uharibifu wa ardhi,
Kilimo endelevu, tutapata faida kwa uhakika.

(Chorus)
Tutimize malengo yetu, kilimo chetu ni jibu,
Tufuate mbinu bora, tuwe na mavuno bora pia.

(Outro)
Kilimo ni utajiri, tunavyotunza ndivyo tutavyovuna,
Twende kwa pamoja, tuwe wakulima bora, tujivunie siku zote.

Je atapiga show kweli?
 
Kuna hii nayo...

Yao yao... amapiano
Ahahaha Jeshi!

Yeah! Dawa ya kunywa pombe
Zishuke hapo kwa chini
Na usiombe ushike baby
Uikute ipo mwezini

We dada unafungua mlango wa mbele
Hakikisha wa nyuma umefungwa
Hainaga macho, haionagi mbele
Unaweza ikuta igunga

Ukaikuta igunga huko (Usiseme hivyo)
Yani imeteleza hadi Igunga huko
Ukaikuta Igunga huko, olala eeh
 
Ombi kwake na kwa viongozi wake, sisi kama wananchi tunafahamu anafanya biashara ya muziki lakini tunamtaka ajikite kuelimisha na kujenga zaidi jamii kuliko kuporomoa.
Hili jambo haliwezi kufanikiwa kwakuwa kuna watu wakubwa wanaonufaika nalo, ila kiukweli waathirika wakubwa wasiojua damage ya hiyo miziki ni watoto wa shule wanaoona hiyo miziki runingani
 
Back
Top Bottom