Msaada: Movie ya Nsyuka(Bongomovie)

ze kokuyo

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
7,418
9,599
Mwenye hii movie ya NSYUKA(part 1&2) msaaada tafadhali. Au ambaye anajua mahali naweza kuidownload yote FULL naomba LINK tafadhali.
 
Pia ile movie ya Girlfriend waliyocheza tid na wenzake,mwenye anajua wapi naweza ipata anisaidie
 
Naenda google kisha andika save media. Ztakuja link nying lakin chagua ile ya kwanza. Ukishaclick itatokea nafas ya kusearch. Utaandika unachokitaka na kitakuja kwa njia ya video na utakidownload. Ukushindwa zunguka TZ nzima kuiztafta kwenye library
 
Naenda google kisha andika save media. Ztakuja link nying lakin chagua ile ya kwanza. Ukishaclick itatokea nafas ya kusearch. Utaandika unachokitaka na kitakuja kwa njia ya video na utakidownload. Ukushindwa zunguka TZ nzima kuiztafta kwenye library
Sijaipata mkuu kwa hyo njia ya Google.
 
hii muvi ni ya kihistoria nchini.

unajua muvi ya girlfriend waloigiza yvone cherry monalisa na t i d inavumishwa ndo ilileta mapinduzi ya filamu, ila kiuhalisia mapinfuzi hasa yaliletwa na nsyuka

nsyuka nakumbuka ndo ilikuwa filamu ya kwanza kuwa na matangazo katika tivi, ilitangazwa sana, kuwa tununue filamu ya kwanza ya kitanzania ya kutisha na hapo mtindo ndo ukaigwa na filamu zilofuatia kama vile,
kaburi la safia, safari, nsyuka part two, johari, na nyenginezo kama vile, muvi za kanumba.

nsyuka ndo walianzisha kuwa na tivi commercials, na waliuza sana

ila ajabu hiyo golden age ya bongo movie ikapita fasta na ghagla leo hii wasanii wa taanzania hawatangazi muvi zao ka zamani, muvi zao sikuhizi ka haupo instagram unakuwa huna taarifa ka kuna muvo mpya inatoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom