Kuna tetesi mtangazaji maarufu wa TZ ambae kwa sasa anatangaza BBC idhaa ya kiswahili ameolewa lakini mumewe jina limehifadhiwa, tetesi ni yule jamaa yake wa siku nyingi na pia ni x mtangazaji wa...
VMachoni pa wengi maswali yaliibuka miongoni mwa mashabiki wa mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul Diamond Platnumz , Zarinah Hassan The Boss Lady baada ya kumuona akiwa klozi na Bosi...
Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Lulu amefunguka kuwa anapenda kuminya ku -date na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake ...
Ivandon x - husband wa zari amejitolea kumfadhili Ali Kiba, kwa kuwa anaamini ni bora zaidi ya Diamond Platnumz.
Kiba utafanyaje brother?nyanyua simu uwapigie..ushauri wangu
MSANII nyota wa filamu, Elizabeth Michael ` Lulu ' amekanusha uvumi kuwa matatizo yanayowatokea wanaume aliowahi kuwa nao yanatokana na yeye kuwa na Jini Mauti anayesababisha hali hiyo kutokea...
Leo mchana kwenye kipindi cha TAKE ONE cha Clouds tv nimemuona na kumsikia Diamond platnumz akisema kwamba mwaka 2011 mwishoni akaunti yake ilikua na million 100, sikatai coz kweli dogo...
Celebrity couple Diamond Platnumz and Zari were in Zanzibar to celebrate their Valentines day since Zari had never been there. The two have been dating for a couple of months and she is now...
Msanii Naseeb Abdul a.k.a Diamond akiwa chini ya ulinzi wa mashabiki uwanja wa Samora Iringa baada ya kushindwa kufanya show katika uwanja huo. Msanii huyo na wenzake wamekamatwa na polisi Iringa...
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi...
STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu aka mama ubaya ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi , Miriam Sepetu kuwa ni suala
la uchumba wake na Nasibu Abdul ' Diamond...
Imevuja! Kuna madai kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' ametupiwa jini lakini likamkosa na kumpata mama yake mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra' kisha kumsababishia...
Kijana wetu anatuwakilisha vyema kwenye jumba la BBA kwenye Disco Night. Wale wenye kuona BBA wa-tune 198 wamuone kijana wetu anavyofanya maajabu.
Alli Kiba atasubiri sana kwa mkali huyu mpaka...
Msanii Diamond Platnumz amepost moja ya nyumba yake akisema hiyo ni moja ya kumi ya nyumba alizonazo, huku akisema ina vitu kama gym, jaccuzi,swimming pool, studio, pooltable, lounge etc
Benki ya CRDB imepanga kumjengea ukuta wa fensi wa nyumba ya Daimond Platnumz ulioangushwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini. CRDB wamesema hayo kuwa watamjengea ukuta huo kwa kuwa Dai...
Wakuu,
Tujuzane kuna nini nyuma ya pazia kuhusu Diamond kwenda kwa Raisi Ikulu mara kwa mara. Mbona sijaona Mwanamuziki mwingine akienda Magogoni, au huwa anatumwa kazi maalum?.
Karibuni tujuzane..
KWAKO mtoto mzuri, Beutiful Onyinye, Wema Sepetu !'Madam'. Vipi uko poa? Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima namshukuru Mungu, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa maisha...
Huyu mtoto anaitwa Mziwanda ni ndorobo wa hatari,Jamaa katoka hapa na demu wake shilole kwenda kufanya show Ubeligiji cha kushangaza kafika kule kazi ni kupiga picha yeye na jukwaa tu(bila...
Wale mafahari wawili waliowahi kutengeneza uzi mrefu humu mwanzoni mwa miezi February, Mjasiriamali William Malechela Le Mutuz na Mwanasheria Alberto Msando, kufuatia promoshen iliyotamba ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.