Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Mtangazaji wa EFM Maulidi Kitenge aoa tena
0 Reactions
127 Replies
39K Views
Kuna tetesi mtangazaji maarufu wa TZ ambae kwa sasa anatangaza BBC idhaa ya kiswahili ameolewa lakini mumewe jina limehifadhiwa, tetesi ni yule jamaa yake wa siku nyingi na pia ni x mtangazaji wa...
0 Reactions
109 Replies
32K Views
VMachoni pa wengi maswali yaliibuka miongoni mwa mashabiki wa mwandani wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘ Diamond Platnumz’ , Zarinah Hassan ‘ The Boss Lady ’ baada ya kumuona akiwa ‘ klozi ’ na Bosi...
0 Reactions
19 Replies
12K Views
Sexy lady kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘ Lulu ’ amefunguka kuwa anapenda kuminya ‘ ku -date’ na wanaume wanaomzidi umri kwa sababu wanakuwa na nafasi nyingi katika maisha yake ...
0 Reactions
68 Replies
10K Views
Ivandon x - husband wa zari amejitolea kumfadhili Ali Kiba, kwa kuwa anaamini ni bora zaidi ya Diamond Platnumz. Kiba utafanyaje brother?nyanyua simu uwapigie..ushauri wangu
1 Reactions
71 Replies
14K Views
MSANII nyota wa filamu, Elizabeth Michael ` Lulu ' amekanusha uvumi kuwa matatizo yanayowatokea wanaume aliowahi kuwa nao yanatokana na yeye kuwa na Jini Mauti anayesababisha hali hiyo kutokea...
0 Reactions
111 Replies
21K Views
Leo mchana kwenye kipindi cha TAKE ONE cha Clouds tv nimemuona na kumsikia Diamond platnumz akisema kwamba mwaka 2011 mwishoni akaunti yake ilikua na million 100, sikatai coz kweli dogo...
2 Reactions
183 Replies
61K Views
Celebrity couple Diamond Platnumz and Zari were in Zanzibar to celebrate their Valentines day since Zari had never been there. The two have been dating for a couple of months and she is now...
3 Reactions
72 Replies
32K Views
Msanii Naseeb Abdul a.k.a Diamond akiwa chini ya ulinzi wa mashabiki uwanja wa Samora Iringa baada ya kushindwa kufanya show katika uwanja huo. Msanii huyo na wenzake wamekamatwa na polisi Iringa...
0 Reactions
35 Replies
20K Views
Tujuzane ile sinema fake imeishia wapi ilitambulishwa tarehe 02 mtu kujitangazia kavamiwa na majambazi 20 (Sasa sijui hii idadi yote walikua wanafanya maandamano au laa coz hata bank haijawahi...
6 Reactions
79 Replies
9K Views
STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu aka mama ubaya ametaja sababu zinazomfanya aingie katika mgogoro na mama yake mzazi , Miriam Sepetu kuwa ni suala la uchumba wake na Nasibu Abdul ' Diamond...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Imevuja! Kuna madai kwamba staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz' ametupiwa jini lakini likamkosa na kumpata mama yake mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra' kisha kumsababishia...
5 Reactions
105 Replies
23K Views
Kijana wetu anatuwakilisha vyema kwenye jumba la BBA kwenye Disco Night. Wale wenye kuona BBA wa-tune 198 wamuone kijana wetu anavyofanya maajabu. Alli Kiba atasubiri sana kwa mkali huyu mpaka...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Msanii Diamond Platnumz amepost moja ya nyumba yake akisema hiyo ni moja ya kumi ya nyumba alizonazo, huku akisema ina vitu kama gym, jaccuzi,swimming pool, studio, pooltable, lounge etc
8 Reactions
519 Replies
99K Views
Benki ya CRDB imepanga kumjengea ukuta wa fensi wa nyumba ya Daimond Platnumz ulioangushwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini. CRDB wamesema hayo kuwa watamjengea ukuta huo kwa kuwa Dai...
0 Reactions
35 Replies
9K Views
Wakuu, Tujuzane kuna nini nyuma ya pazia kuhusu Diamond kwenda kwa Raisi Ikulu mara kwa mara. Mbona sijaona Mwanamuziki mwingine akienda Magogoni, au huwa anatumwa kazi maalum?. Karibuni tujuzane..
0 Reactions
118 Replies
12K Views
. Wakati tunajiandaa kuona mfilipino anavyochakzwa hii leo... Hawa ni baadhi ya mastaa wa bongo ambao ni mashabiki wa The money team #TMT
0 Reactions
1 Replies
3K Views
KWAKO mtoto mzuri, Beutiful Onyinye, Wema Sepetu !'Madam'. Vipi uko poa? Ukitaka kujua afya yangu, mimi ni mzima namshukuru Mungu, hofu na mashaka ni kwako wewe uliye mbali na upeo wa maisha...
5 Reactions
48 Replies
11K Views
Huyu mtoto anaitwa Mziwanda ni ndorobo wa hatari,Jamaa katoka hapa na demu wake shilole kwenda kufanya show Ubeligiji cha kushangaza kafika kule kazi ni kupiga picha yeye na jukwaa tu(bila...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
  • Redirect
Wale mafahari wawili waliowahi kutengeneza uzi mrefu humu mwanzoni mwa miezi February, Mjasiriamali William Malechela Le Mutuz na Mwanasheria Alberto Msando, kufuatia promoshen iliyotamba ya...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom