Hakimu wa mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, leo ametoa hukumu ya kifungo cha miaka miwili jela au kulipa faini kwa rapper, Chidi Benz.
Chidi alipandishwa kizimbani mahakamani...
Katika bonanza lilopigwa mwishoni mwa wiki mjini Dodoma la Pspf..picha iliopigwa jukwaani wakati mshakaji akiwa busy kukata mapanga...pengine ile dhana ya wasanii na ndumba ni dam dam inaanza...
Yule mkali wa siku nyingi toka kinondoni TID hatimaye apata mpinzani wa kweli katika uimbaji,pamba na nyota kung'aa kwa watoto wazuri toka kwa P.H.D nae toka kinondoni ambaye jana Billz alionyesha...
Nimefikia uamuzi wa kudai talaka kutokana na kuchoshwa na vitendo vya ukatili nilivyokuwa nafanyiwa na mume wangu, kwa zaidi ya miaka8 na hata sasa bado anaendeleaje, Kwani hata kuongea uongo...
Huyu dada kutoka Arusha nilikuwa namkubali sana kwa nyimbo za injili, hasa ile albamu yake ya kwanza iliyo na wimbo wa "Habari Njema"
Hivi kwa sasa yupo wapi maana hasikiki kabisa..
Leo nilikuwa naangalia kaseti ya picha (video) ya kwaya ya Shangalieni ya Arusha nikamuona huyu dada akianzisha wimbo huku akiimba kwa hisia (ukipenda katika roho na kweli). Ukiamuangalia...
- Jamani ndugu zangu heshima mbele sana ni heshima kubwa sana kwa mimi Mwana-JF mwenzenu kukubalika sana na jamii lets all celebrate that, kwanza ilikuwa kampuni ya Cocacola walinitengenezea kopo...
Mrembo na mwigizaji wa filamu mwenye mvuto zaidi hapa Bongo (kwa mujibu wa mtandao wa yourbesttop10.com), Elizabeth Michael ‘Lulu' jana usiku aliandika bandiko mtandaoni ambalo...
Napenda kumwambia kamanda Kova na kikosi chake, kumwambia mmiliki wa Yamoto band "Mkubwa na wanawe" Said Fela kufunga vifaa maalum vya kuzuia sauti au kutafuta sehemu nyingine ya kufanyia mazoezi...
In other news, Tanzania's sweetheart ,Wema Sepetu is officially dating mheshimiwa Ivan kutoka Uganda ambae kwa sasa anaishi South Africa. Kwa msiomfahamu IVAN ni ex-husband wa GF wa Tanzania's...
Music has been paying heavily in Nigeria for the past ten years. No wonder average Nigerian youths sees music as the quick means to wealth and fame. Why not! When a good number of artistes have...
Habari wanabodi,
Mtangazaji wako wa nguvu,Millard Ayo mfanyakazi wa Clouds Fm kipindi cha Amplifier amefungua studio kubwa ya kisasa iliyomghalimu mamilioni ya shilingi."Ilikuwa si kazi ndogo...
Hello! Hello! Hello!
Ladies and gentlemen it is another year for the WOMAN SCREAM FESTIVAL..
La poetista in partnership with AIESEC and Women Poets Internation bring to you another Woman Scream...
Heshima mbele wana jamvi!
Ni kitambo kidogo tokea jamaa avute mkwanja baada ya kushinda kwenye yale mashindano ya #BBA , baada ya pale kama sijakosea aliingia kwenye tasnia ya sanaa ya maigizo...
Hbr wakuu hivi haya malalamiko ya mr misifa juu ya baadhi ya wasanii kutohudhuria mazishi ya baba yake na kudai kuwa hawamjali na kusisitiza kuwa wengine wanajifanya kumuita brother lakini...
Kwanza nakupongeza sana mdada kwa kufanya bidii katika muziki na kimaendeleo pia.mimi siko Tanzania kwa muda sasa lakini nafuatilia kwa karibu sana kila kinachotokea huko.Majuzi uliposti katika...
Sijui kwa nini Cheka hataki tena kwenda shule, tangu alipopewa nafasi alikwenda mara mbili tu kujisajili na kupiga picha lakini kusoma hajawahi, mama huyo ameiambia Mwanaspoti mjini Morogoro...
Hili ni pigo lingine kwa wasanii wetu hapa nchini.
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinasema Kash (Jaji Khadija) amefariki dunia katika hopsital ya muhimbili ambapo alikua amelazwa. Kash amewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.