Ni mifano mingi tumeona pindi msanii au mtu yeyote yule ambaye amefikia umri wa kuanzisha familia inapotokea amefariki bila hata ya kuacha angalau mtoto mmoja ambaye atakuwa faraja kwa familia au...
Leo kuna mtu kaniambia msome Mange kaongea kitu kizuri sana, nikampuuza ila aliponipa brief ikabidi niingie kumsoma.. Kwa kweli huyu mama uwa simkubali mpaka nakufa ila kaongea kitu cha msingi...
Gauni limeibiwa hotelini alikipwa alivae na Calvin Klein .Dah tuombe lipatikane jamani lisimtie nuksi dada wa watu .
Lupita Nyong'o's stolen Oscars dress has been returned to the scene of the...
Habari wajameni kwa mara ya kwanza kama Mtanzania niliekerwa na wabongo kufanya video nje ya nchi South Ulaya na America. Naomba mimi mfalme Simba ni direct video ya wimbo huu wa Chekecha...
Naomba tupendekeze nani ktk kundi la wasanii wa kibongo anaweza kua na sifa za kuongoza nchi, ukilinganisha na namna anavyo jitoa ktk tasnia yake..
Tunaweza kumuelezea kwa vipengele kama hivi...
Mnyama ana tuhuma ya kumtumia msichana ili amuue ali kiba,amehojiwa na clouds fm akiwa kituon na kukanusha madai hayo na kusema hajui chochote na he has nothing against ali k,hawajawah kugombana...
MSANII wa filamu za Kibongo, Doreen Reguna ‘Queen Magali' amefunguka kuwa kifo cha staa wa Bongo Fleva, Moses Mshagama ‘Mez B' ni pigo kubwa sana kwake kwani marehemu alikuwa ni...
STAA wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari' ameamua kuvunja ukimya wa muda mrefu baada ya kuweka wazi mwanaume ambaye anahitaji amuoe na sababu inayomfanya asijichanganye na mastaa wenzake...
Msanii Omary Nyembo alimaarufu kama Ommy Dimpoz amefunguka na kusema kuwa watu wa uhamiaji duniani kote huwa hawatambui umaarufu wa mtu pindi wanapogundua kuna kitu hakijaenda sawa,Ommy Dimpoz...
Diva anayekimbiza kwenye kiwanda cha filamu hapa bongo, Jackline Massawe au kwa jina maarufu la Wolper, kwa mara nyingine ameripotiwa kuangukia kwenye mikono ya pedeshee ambaye ndiye anayempa...
Mwanaume mwenye vigezo gani ungependa kuwa nae kwa sasa?
JIBU :Anaejali na kuheshimu, mwenye roho ya upendo na huruma, anaeweza ku take care of me financially.Asiechepuka hovyo (Milupo kila...
HUTAKIWI KUWA NA HASIRA KATIKA PROCESS ZA KUTAFUTA MAISHA.... utakutana na changamoto nyingi sana na lazima ukubali.. kubali kudharauliwa, kubali kushushwa kubali kuonekana huna maana lakini...
POSO Tanzania ni ofisi ya uwezeshaji wananchi kiuchumi chenye database ya wateja wake 250,000 kila mkoa na wameingia rasmi kwenye sekta ya filamu kwa kuwachukua waigizaji nguli kama Rich(Single...
Msanii kutoka TMK Wanaume Family, Amani James aka Mh Temba jana amefikishwa katika mahakama ya mwanzo ya Temeke jijini Dar es salaam akikabiliwa na mashitaka ya kutishia kuua kwa kisu kutokana na...
Kanye West anafahamika kwa kuwatoa wasanii wengi wakubwa nchini Marekani. Bila yeye leo hii hakuna mtu angekuwa anawajua Big Sean na John Legend.Na sasa kupitia ngoma yake mpya All Day, (ambayo...
BREAKING NEWS BREAKING NEWS
Taarifa zilizo2fikia hiv punde ni kwamba Mcharoâ¬kafirisika,mke wake sa hiv ni dagaa kwa mlenda mpk anawakera majran,mwanae mcharo karudshwa nyumban kisa ada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.