Katika kusheherekea sikuuu ya mwanamke Duniani, Mwanamuziki mwenye hadhi ya kipekee bongo, Judith wambura mbibo maarufu kama Lady jaydee ame share story yake fupi kuhusu bifu lililowahi kutokea...
Me nimekuwa na albamu zao ambazo walizigawa bure.kusema ukweli me sikupenda baadhi ya approach zao kama vile kutukana matusi direct tena ukizingatia Mr Sugu ni mheshima kwa sasa. ila nilipenda...
Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu'. TAMBO ZA NANI ZAIDI?
Sakata la kupangishiwa nyumba za kifahari na wanaume linazidi kuchukua sura mpya kwa mastaa wa kike...
Kim Kardashian and Kanye West have refused to let their daughter feature on Keeping up with the Kardashians. This is apparently because they want her to have some privacy and be able to be a child...
Sidhani kama kuna producer apa bongo mwenye kifafa cha akili, ambaye ataweza kumlipa LULU mil 15 kwa movie moja tu. Achilia mbali uigizaji mbovu Wa Lulu Michael, hakuna movie yeyote aliyowahi...
Nimeangalia kipindi cha Mikasi nilichomsikia Muongoza kipindi ni swali moja ambalo limenifanya nikimbilie hapa Jamvini mnisaidie maana Salama kamwambia January kuwa wao wote ni Masupastar akamtaja...
Diamond alifanya show ya mwaka mpya katika uwanja wa amahoro Kigali, ni kweli hii show ilikuwa kali na ilimlipa vizuri. Kafanya show ya Tigo pale leaders club Dar hii ni sponsored show hivyo...
"Jamani jamani mnaosema ooh umasikini mmbaya kwanini Shilole anamdhalilisha bwana yake, jamani kwani huyo ‘so calle' Nuh or ‘whatever' his name is kalazimishwa?? unajua siku hizi...
Imekuwa ni kawaida sana kwa wasanii wetu wa tasnia mbalimbali kufanya mambo fulani au hata vioja na kupelekea majina yao kutengeneza headlines katika vyombo mbali mbali vya habari (wengine nasikia...
Habari wanabodi.. Leo nimeona niandike hili.
Nieleweke kabisa mimi sina timu yeyote hapa.. Hivi majuzi tulishuhudia clouds Media kujitangaza kuwa bila wao diamond asingefika pale na wanajivunia...
Naamin kua kila m2 hupenda sana kufatilia na kutazama maigizo yanayorushwa kuptia v2o mbal mbal vya runinga,ss kuna katabia ka1 hua naona ni bora waachane nako yan utakuta lbd igizo linarushwa na...
Wasanii hawa kwa taarifa za ndani ni kuwa wamechaguliwa kuwa wajumbe wa kamati ya kitaifa ya katiba mpya kuelekea kura ya ndio wakiwa na Prof Costa Mahalu, Dr Bana, Kingunge, William Lukuvi na...
Mtoto wa Baakhresa Kaleta gari special edition yenye thamani ya us 500,000/ sasa sijui kuna ukweli juu ya hili??
Source:BongoClan™ : TAZAMA PICHA ZA GARI LA SH. MILIONI 805 LINALOMILIKIWA...
Mjini Msingi kiuno , Kauli inayodhihirishwa na Zari hapa kwenye hizi picha , Zari amenaswa na mpiga picha wa Diamond akikagua mali zake kama zipo salama
Habari wanabodi,
Jana nilikuwa naangalia kipindi cha 5gears cha clouds TV kinachorushwa kila jumatatu saa tatu na nusu usiku(marudio 7:30/8:00 mchana Jumanne/Jumamosi),nilishangaa kumuona Matonya...
Vijana wa Yamoto Band jumamosi iliyopita Walipiga Bonge moja la Show huko UK London katika Ukumbi wa Royal Regency na kuhudhuliwa na watu kibao wanaoishi huko, Hizi ni picha za matukio katika...
Msanii wa bongo flava Seif Shabani "Matonya" amefungua mwaka 2015 kwa aibu kubwa baada ya picha kuvuja kwenye mitandao ikimwonyesha akiwa amelewa chakari hajitambui.
Picha hiyo inasemekana...
Mara nyingi huwa tunazipata picha za wasanii wetu waimbaji wakiwa wameshika microphone wanaimba au kuchana mistari. Kutokana na wao kuona picha za marapa wengine jinsi wanavyoshika maik nao huiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.