appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 4,899
- 1,642
Mchezaji nyota wa Real Madrid ya Uhispania na Ureno Christiano Ronaldo ndiye binadamu maarufu zaidi duniani kwenye Facebook.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 30 amempiku Mwanamuziki maarufu kwa kunengua kiuno Shakira na wafuasi zaidi ya milioni 107.
Ronaldo anawafuasi 107,096,356 wakilinganishwa na 107,087,100 Shakira, Ronaldo aliweka rekodi kwa kuwa mchezaji maarufu zaidi duniani alipotimiza wafuasi milioni 100 mwezi Oktoba mwaka uliopita.
Nyota huyo wa Real Madrid alijiunga na mtandao wa kijamii wa Facebook mwaka wa 2009.
Na si hapo alikothibitisha udedea wake,Ronaldo anazaidi ya wafuasi milioni 34 katika mtandao wa kijamii wa Twitter ambako anaorodheshwa katika nafasi ya 13.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 30 amempiku Mwanamuziki maarufu kwa kunengua kiuno Shakira na wafuasi zaidi ya milioni 107.
Ronaldo anawafuasi 107,096,356 wakilinganishwa na 107,087,100 Shakira, Ronaldo aliweka rekodi kwa kuwa mchezaji maarufu zaidi duniani alipotimiza wafuasi milioni 100 mwezi Oktoba mwaka uliopita.
Nyota huyo wa Real Madrid alijiunga na mtandao wa kijamii wa Facebook mwaka wa 2009.
Na si hapo alikothibitisha udedea wake,Ronaldo anazaidi ya wafuasi milioni 34 katika mtandao wa kijamii wa Twitter ambako anaorodheshwa katika nafasi ya 13.