Hivi mbona wasanii wengi wanapenda sana kuandikwa magazetini, kuna wengine wanaonga vyombo vya habari huku wengine wakijitaidi kutengeneza skendo mradi tu watokee magazetini.
why wanapenda...
Huyu dada anafanya poa sana na single yake mpya ya "Na yule ". Ni mmoja kati ya zao kutoka nyumba ya vipaji, Tanzania house of Talent, huu wimbo wake mpya ni shidaa.
Ana sauti nzuri, pia...
Mwaka huu umekua mwaka wa neema kwa mrembo wa Tanzania 2006 Wema Abraham Sepetu, Hii kutokana na muda haujapita sana alipochaguliwa kuwa balozi wa mistubishi new model akiwa pamoja na Millard Ayo...
Huyu jamaa pia yupo kwenye lebo ya CMB iliyo chini ya Birdman,ni hatari sana huyu mtu hasa kwa ile style yake ya umbrella flo,ukitaka kuthibitisha hilo tafuta ngoma zake kama...
Hakuna vipengele vinavyoniboa kwenye Tuzo za watu, kama hivi vya sijui mwanamuziki na muigizaji anayependwa, binafsi sioni kama kuna mantiki apo, yani msanii ata kama hufanyi vizuri ila kwa kuwa...
Waganga wa kienyeji wanaotoka katika maeneo tofauti nchini Tanzania wamejitolea kumtibu Msanii WemaSepetu aweze kupata mtoto.
Kulingana na gazeti la The Standard nchini Kenya Waganga hao...
Baba wa kambo wa Kim Kardashian, Bruce Jenner ameweka wazi kwa mara ya kwanza uamuzi wa kujibadilisha kuwa mwanamke.alisema. Ni ngumu kwa watu kuelewa hilo lakini hivyo ndivyo nafsi yangu...
Nimesikiliza kibao kipya kutoka kwa sauti souls kinaitwa NEREA, aiseeh jamaa wanaweza, wimbo mzuri pia una ujumbe mzuri sana. Binafsi nimewakubali.Jamaa wameimba kwa hisia sana.
Kazi nzuri sana...
Nimependa sana huu ubunifu mpya wa mwanamuziki Benpol, audio yake ilinichosha kidogo, sio kwa kuwa wimbo mbaya la hasha!, ila haya mambo ya kuimbia mapenzi tu mara wanjera, sijui masogange na...
mmh.sijui ndio matunda au matokeo ya uswahiba ila ki ukweli pale hakuna kipaji cha kutisha ni msanii wa kawaida sana kama msaga sumu, yetu macho ni hii ndio bongo bana. sijui baada ya uchaguzi...
Majina yaliongia kwenye hatua ya tano bora kwenye Tuzo za Watu 2015 yametangazwa rasmi Ijumaa hii. Hiyo ni baada ya siku kadhaa za kuhesabu mapendekezo yaliyokuwa yakitumwa na wananchi kwa kipindi...
Imethibitishwa kuwa mwamuziki LADY JAYDEE ndiye msanii pekee nchini( kwa wasanii wa kike na wakiume) anayeongoza kumiliki tuzo nyingi zaidi ndani na nje ya nchi.
AWARDS WON-2001 to 2014
2001-...
Mkali wa sinema za Kibongo, Aunty Ezekiel aka cheusi dawa amesema anatamani iwe leo au kesho apate mtoto kwani umri wake unaruhusu.
Akipiga stori mbili- tatu na paparazi wetu, Aunty alisema kuwa...
HISTORIA KWA UFUPI
Wastara alizaliwa mwaka 1983 katika Hospitali ya Turiani iliyopo wilayani Mvomero mkoani Morogoro akiwa ni mtoto wa tano kati ya saba waliozaliwa katika familia yao...
Muigizaji mwenye mvuto wa kipekee na mwenye haiba ya upole bongo movie, Jennifer kyaka aka Odama mambo yake ni super ile mbaya, anaweza kuwa ndiye msanii pekee apa bongo movie anayeishi maisha...
Baada ya mtangazaji maarufu nchini, zamaradi mketema, kujifungua mtoto wa mwingine ,mashabiki wake wamemjia juu mtangazaji huyo na kudai kuwa kitendo cha kuzaa nje ya ndoa ni kosa kwa mtoto wa...
Taarifa zilizotua kwenye dawati la gazeti hili zinadai kuwa, wale wamama wa mjini ambao walikuwa mashosti hadi kufikia hatua ya kusema ni kama ndugu, mama wa aliyekuwa staa wa Bongo Movies...
Zikiwa zimebaki siku 9 kabla ya pambano lilopewa jina la ‘Fight of the Century' kati ya mwanasumbwi tajiri zaidi duniani ‘Floyd Mayweathe Jr' ambaye ana rekodi ya kutopoteza pambano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.