Mwanadada asiyechuja kwenye tasnia ya filamu za bongo, lulu michael, amesema fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa.
Lulu alisema kuwa wasichana...
Asilimia Kubwa ya mastaa Wa bongo wamekuwa wakionekana wakijivinjari katika mitaa mbali mbali wakiwa katika magari ya kifahari. Lakini ukichunguza utagundua kuwa wengi Wa wasanii hao siyo wamiliki...
Habari wanabodi,
Nilikuwa napita sehemu nikasikia watu wanasema kuna msanii wa Futuhi mwingine mbali na mzee dude(Aliyefariki Jan 214) amefariki,kama kuna mdau anamjua anaweza akatudadavulia ni...
Habari ndugu wana JF, nimeanzisha uzi huu nikiamini huenda ZARI akauona anitatulie tatizo langu.
Mimi nilikuwa follower wako mzuri tu kule instagram. . Nilichokuwa nikifanya ni ku double tap tu...
Week hii wasanii wengi wameachia nyimbo zao pamoja na video miongoni wa wasanii hao ni Linex na video yake ya Salima aliyomshirikisha Diamond, Jux na video yake ya Nikuite nani, Ommy Dimpoz na...
Nimepita Instagram kwenye account ya Snoop Dog kapost picha ya Beaber nimeshangaa matusi anayoporomoshewa huyo dogo nikajiuliza kulikoni? Amewakosea nini wapenzi wake wa miziki? Au ndio dalili ya...
oya waungwana ile mimba ya mwana bongo fleva platinum kwa mke wake zari imefikia wapi?
Nauliza hvyo kwakua siku zinavyo zidi kwenda mzigo hauonekani au ni macho yangu mimi
Samahanini kwa...
Habari Wanabodi,
DJ mkongwe Tanzania John Dillinga aka DJ JD (The Legend) leo kupitia ukurasa wake wa Facebook ametupia picha ya mjengo wake wa mbezi beach.Mjengo huo wa mbezi beach wenye thamani...
Huyu mama huwa namsikiaga Clouds na Radio nyingine anaongelea mambo ya saikolojia na ushauri. Lakini baada ya kumsikiliza namuona amepwaya na hana mashiko. Yeyote mwenye taarifa za kutosha kuhusu...
#Repost instagrampartytz
・・・
It is a very unfortunate moment for all that We had to take such a hard decision to announce the termination of our employee Mr. Seth...
HAKUNA neno zuri la kusema zaidi ya Mungu mkubwa! Ule mtafaruku ndani ya ndoa ya mwimba Injili mahiri Bongo, Flora na mumewe, Emmanuel Mbasha umedaiwa kumalizika kwa wawili hao kupatana, Risasi...
Mwanamuziki nguli wa kike hapa Tanzania Lady JayDee ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake wa Forever amefunguka na kuonyesha kukerwa na kitendo cha baadhi ya mashabiki wake wa Instagram...
Jamani Wema sepetu Mimi hata wamsemeje nampenda Sana Ana roho nzuri Sana huyu mdada love you wema
Alafu yule shoga kajala nae sasa huna hata utu hukufikiria Wema alivyokusaidia kwa habari...
Play back zimepitwa na wakati. Jumapili Fid Q alifanya show Billz kwa kutumia band na jana Ally Kiba huko Moshi naye kafanya the same. Inavutia kushuhudia show za mtindo huo.
Wasanii wengine...
Nimeshtuka nilipo ona tangazo eti kua sasa utakua unapiga harakati zako za kupinga matumizi ya madawa kupitia kutangaza Clouds TV..
Kwa kifupi umeajiriwa na hao watu wa Clouds kama mtangazaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.