Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ni binti mdogo wa miaka 25 tu. Lakini kwa sasa anamiliki maduka mengi tu hapa mjini Pia anamiliki Niffer Mall Pia anamiliki ndinga kali za Gharama kama RangeRover Sport, RangeRover Evoque, na...
18 Reactions
121 Replies
13K Views
Nimeiangalia video mpya ya Diamond. Kusema kweli pamoja na kashfa mbalimbali zinazomuandama huyu kijana,kwenye game anakaza. Ni video fupi lakini yenye quality na message. Ingawa umri wake si...
1 Reactions
40 Replies
5K Views
Wakuu, Hawa ndugu zetu sijui maisha ya jela yalipoteza directions zao au muziki wa bendi kutokufanya vyema imewagusa pia! Ila wengi tulitegemea baada ya kutoka jela tungepata hits bandika bandua...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu, Naona safari ya Korea imetiki! Tunazidi kukuza vijana waliojaa funza na kamasi kichwani! === Mwigizaji wa filamu nchini Idris Sultan ambaye pia ni Jaji katika Onyesho la Samia Fashion...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Wakuu, Naona sasa hivi habari ya mjini ni kuwa chawa tu, mambo ya maana wanaweka pembeni utafikiri kwenye vichwa wamejaza kamasi pekee, ni huzuni! ===== Khadija Mwanamboka kuipeleka Samia...
1 Reactions
3 Replies
598 Views
Mwanamitindo na msanii wa muziki Tanzania Hamisa Mobetto amekubali kwenda dubai na mchezaji wa soka wa Yanga Ki Aziz kwa siku nne baada ya kuulizwa kama atakubali kenda nae jana katika usiku wa...
3 Reactions
24 Replies
5K Views
Ndio maana mlielezwa muishi nao kwa akili Bill Gates aliyekuwa tajiri namba moja duniani na mke wake wa ndoa Melinda Gates walitalikiana miaka miwili uliyopitia. Mke alivuna karibu nusu ya...
39 Reactions
238 Replies
8K Views
Namuulizia huyu jamaa haonekani TBC haonekani mtaani. Yuko wapi huyu ndugu yetu mtangazaji mahili. Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
5 Reactions
24 Replies
9K Views
"Nilipopata kwa mara ya kwanza takribani bilion 3 ,niliwapa mama na baba yangu zaidi ya milioni 400 kila mmoja na mwanamke wangu akaachana namimi kwa sababu nilimpa milioni 13 tu." __ Akon...
63 Reactions
109 Replies
73K Views
Brian Deacon ndio jina lake mwigizaji huyo ambaye ni mwingereza aliyezaliwa mnamo tarehe 13/02/1949 huko Oxford nchini Uingereza akiwa ni mtoto wa pili katika familia yao baba yake akiwa fundi...
14 Reactions
424 Replies
184K Views
KUANZIA muvi ya “Straight Outta Campton” hadi andiko la kitaaluma (dissertation) la Kristen Bowen, Chuo Kikuu cha North Carolina. Documentaries za “In The Dark”, “Surviving Diddy” kisha “Freak Off...
18 Reactions
35 Replies
32K Views
Harmonize....Sitaaki Kuongelea Zile Haso zake za BSS....zile haso zake za kutoka hadi Diamond kuja kumuona Na kuamua Kumsign Na kuwa msanii wake Chini ya WCB! Alitoa Aiyola...
36 Reactions
115 Replies
32K Views
Peter msechu hili waliokufa kariakoo halijamuuma? Au kwenye misiba ya viongozi wakifa kuna per diem anapata? Ila akiimba hili la kariakoo hamna chochote kitu?au mwana ni msaka tonge?
4 Reactions
22 Replies
1K Views
Wabobezi wa Sheria za mikataba waingie kazini wamsaidie huyu mrembo kijana na mwenye mvuto mkubwa Afrika nzima ,kuuvunja mkataba wake na Wasafi ili asimame mwenyewe kwa uwezo wa zuchu akiwa...
17 Reactions
74 Replies
4K Views
Google pamoja na wana sayansi wa dunia wamekubaliana kwamba watu marufu funian tangu enzi na enzi Isack newton iko juu ya Yesu, wakati Yesu ni Mungu mbona yanachanganya wakati Mungu huyu huyu ndo...
5 Reactions
102 Replies
5K Views
Sean “Diddy” Combs ametuma barua ya kuzuia filamu mpya inayomhusu Shyne, mmoja wa wasanii wake wa zamani. Filamu hiyo inadai kwamba Shyne alichukua hatia kwa niaba ya Diddy kwenye kesi maarufu ya...
0 Reactions
3 Replies
824 Views
Kwanza niwape pole na msiba wanmwigizaji mwenzenu Fredi.Mwenyezi Mungu amweke marehemu mahali alipojitqyarishia wakati y'u hai. Imekuwa nintabia ya miaka nenda rudi na imekuwa utaratibu wa maisha...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwanza nna declare interest mimi ni shabiki mkubwa wa Professor Jay na kwenye list yangu ya MCs bora wa muda wote nimemuweka nafasi ya pili. Napenda sana muziki wake hata siasa zake nilikuwa...
42 Reactions
117 Replies
6K Views
1.... D voice Huyu alisainiwa ktk lebo ya wcb na diamond kwa mkwala mkubwa sana ikiwemo kualikwa viongozi, wanasiasa n.k, lakini nyota yake ni kama imefunikwa na mawingu, hana tofauti na wasanii...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom