Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwenye maisha haya usisubiri raha kuwajua watu wako wanaokuzunguka bali subiri shida zikupate ndio utawajua watu wanaokuzunguka! Bado nashangaa sana pamoja na madhaifu ya huyu mtangazaji DIva...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Akiwa katika kipindi cha Jirani kupitia Crown FM, mwanamuziki Abby Chams anasema hajawahi kula miguu ya kuku wala firigisi hazijui. Mwijaku akamuuliza unapajua Mburahati? Akamjibu hajawahi...
16 Reactions
117 Replies
6K Views
Habarini, Ninaposema celebrity entrepreneurs, namaanisha vijana maarufu wanaotrend mitandaoni kwa kuwa na hela nyingi kama kina chief godlove, Ontario/ sirjeff Dennis wa forex, Niffer, na...
28 Reactions
51 Replies
4K Views
Huyu jamaa anatoa Wapi pesa. Kwenye kipindi cha good morning cha Wasafi FM anasoma magazeti Ila hamalizi mwezi akiwa Tanzania. Utasikia yupoo USA, German, mara Italy, leo yupo Dubai. Wakuu huyu...
5 Reactions
18 Replies
1K Views
Mpigapicha na Muongozaji Video (Director) wa Msanii Rayvanny anayefahamika kwa jina la Eric Mzava anatuhumiwa kuiba mtoto wake na kutokomea naye huku akimuacha mzazi wenzake akihaha kumtafuta...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Mkono mtupu haulambwi! Naam, ndivyo ninavyoweza kulielezea hili. Wikiendi iliyopita Rais alijumuika kwenye uzinduzi wa albam ya msanii wa kizazi kipya Harmonize akiwa kama mgeni rasmi pamoja na...
20 Reactions
115 Replies
8K Views
Bilionea Ned Nwoko kutoka nchini Nigeria amesema huwa hafungi ndoa na Mwanamke ambaye sio bikra. Bilionea huyo hadi sasa ana wake 6 anaishi nao wote hadi sasa. Maneno hayo alitamka kwenye...
15 Reactions
45 Replies
5K Views
Mpendwa Steve Nyerere, Kwa heshima kubwa, napenda kukushukuru kwa kazi zako nzuri na mchango wako wa kipekee katika kuleta maelewano ndani ya jamii yetu. Kama mmoja wa viongozi wenye ushawishi...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Nilipenda uigizaji wake enzi izo, alikuwa akitumia jina la Nina alipenda sana ku act na Dr. Cheni mara kwa mara, yuko wapi siku hizi?! ========= Msanii Nguli wa Sanaa nchini, 'Nina'
5 Reactions
93 Replies
33K Views
Kweli mambo yanaenda kasi sana wanabodi. Sijui Manyangema hapo kale ya 2000s walikuwa wanakwama wapi, kwani nimekuja kugundua walikuwa hawatongozi kabisa, wao ndio walikuwa wanapigwa mistari sana...
5 Reactions
6 Replies
906 Views
Wasalaam. Nipo kwenye Group Moja la rapa mahiri na storyteller matata Sasa DIZASTA VINA, Nimesha sikiliza ngoma zake kadhaa kama Vile kanisa ambazo ame jitanabaisha kuwa yeye haamini uwepo wa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Naomba kuuliza huyu IRENE KILENGA wa EFM na TVE ameolewa? anao watoto au mtoto? Au bado msichana mdogo hajawa na mipango hiyo.
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakati zoezi la uokoaji likiwa linaendelea eneo la Kariakoo jengo lilipoanguka, Bondia wa Kimataifa wa Tanzania Hassan Mwakinyo ameshiriki katika zoezi hilo. My take: serikali isimamie hili jambo...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Nipo hapa ufaransa kwa muda wa miezi 5 sasa, leo katika pita pita zangu kwenye ofisi moja nimesikia wimbo wa mdogo mdogo wa Diamond ukipigwa kwenye simu na Mfaransa mmoja mweye asili ya Afrika...
4 Reactions
41 Replies
6K Views
Habarini Case in point ni huyu blord wa Nigeria, huenda wengi humu hamumfahamu, huyu kijana ana miaka 26 tu ni ceo wa kampuni yake ya jetpay kule Nigeria, lifestyle analoishi si mchezo, yani...
2 Reactions
90 Replies
6K Views
Muigizaji wa tamthilia na Filamu Nchini, Fredy Kiluswa amefariki Dunia. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa baadhi ya wasanii wakiwemo @jb_jerusalemfilms na Steve Mengele almaarufu Steve...
10 Reactions
80 Replies
11K Views
Katika kijiji kidogo kilicho katikati ya milima yenye uoto wa kijani kibichi, aliishi msichana mdogo mwenye tabasamu la kuvutia aitwaye Neema. Alikuwa maarufu kijijini kwa ukarimu wake na moyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huyu jamaa nakumbuka aliteka sana kipindi cha nyuma katika soko la mziki wa dansi Yaani kusema kweli aliweza sana kuanzia mchinga sound mpaka kwenye bendi za Manyangau twanga sijui huyu jamaa yu wapi!
1 Reactions
53 Replies
15K Views
Katikati ya mdororo wa uchumi, anguko la viwanda lililosababisha Great Depression. Biashara za magendo zikitawala, Magenge ya kimafia yakiwa fasheni ya mitaa. Ni wakati huo alizaliwa mtoto...
4 Reactions
4 Replies
914 Views
John Krasinski ametajwa na jarida la People kama "Mwanaume Mwenye Mvuto Zaidi Aliye Hai" (Sexiest Man Alive) kwa mwaka 2024. Kwa mujibu wa jarida la "People Magazine" kutoka Marekani, Novemba 11...
5 Reactions
38 Replies
3K Views
Back
Top Bottom