Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wakuu naona dada ameamua kufanya kweli. Hongera Komandoo nadhani hii itakuongeza kujiamini na kuthubutu kwenye maisha yako.
2 Reactions
40 Replies
9K Views
Ed sheeran, Anza nae.
1 Reactions
0 Replies
733 Views
Anaipenda Tanzania kwa kuwa amezaliwa Tanzania na wazazi watanzania wanaoishi Tanzania mpaka sasa lakini kwa kuwa Ureno wamemuamini sana na kumpa nafasi ya kuichezea timu yao ya taifa ya vijana...
1 Reactions
29 Replies
8K Views
1.Ali kiba 2.Juma Jux 3.cyril kamikaze 4.Hemed Phd 5.Gerry 6.Izzo bizness 7.ommy dimpoz UTANASHATI ni jambo kubwa sana kwa wasanii na watu wa kawaida. Mara nyingi utanashati...
2 Reactions
53 Replies
32K Views
Abdul Juma ‘Baba D’ Erick Evarist na Gladness mallya DAR ES SALAAM: Maskini wee! Baba wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul Juma ‘Baba D’ anaumwa sana! Ndivyo Risasi...
0 Reactions
252 Replies
33K Views
Mengi anamiliki Radio one, Capital radio, EA radio na Ruge anamiliki Clouds fm na Choice fm. Sasa watangazaji wengi wa Mengi wanakimbilia kwa Ruge. Tuwaorodheshe; Milard Ayo, Sebastiani Maganga...
4 Reactions
70 Replies
17K Views
Rz1 anatajwa kuwa na Mahusiano na Lulu kiasi cha kumununulia gari. Mda mfupi baada ya Kifo cha Kanumba msg ya Rz1 ilikutwa kwenye simu ya lulu!!!!
1 Reactions
82 Replies
21K Views
Nampenda Lulu Michael wazoefu viwanja vipi naweza kumpata au kukutana naye au ofisi zake ziko wapi Nisaidieni wapendwaaaa!!!! ....I am sick bcoz of her Haijalishi alivyo historia yake me...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Naomba kujua wanamuziki na waigizaji waliosoma Mimi naanza na mwana fa huyu ana masters in finance aliyoipata chuo kimoja huko uingeleza naombeni kuwajua na wengine ....naomba kuwasilisha wanajamvii
5 Reactions
64 Replies
18K Views
Huwa namsikiliza mno kwenye kipindi chake cha Ala za Roho. Hapa ukimsikiliza anaonekana ni mjuvi mzuri wa haya mambo ya mapenzi, sasaaaa kwa nini mastori mingi kwenye media na mahusiano mara...
10 Reactions
85 Replies
13K Views
Naona singeli inakuja kwa kasi ya ajabu hasa kwetu uswazi. Dah uchezaji wake bado nashindwa kuuelewa lakini poa tu. Angalia video tamu ya Singeli Hiphop kutoka kwa wakali wa muziki.
2 Reactions
15 Replies
8K Views
Hivi huyu dada yupo wapi mwenye update zake anijuze
2 Reactions
58 Replies
12K Views
.
10 Reactions
275 Replies
76K Views
Pnc ni msanii mwenye kipaji na sauti nzuri alifanya vizuri miaka ya nyuma kidogo na nyimbo zake zilihit sana kwa sasa naona kapotea sana kwenye game mara ya mwisho kupata habari zake walisema...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
jamani naombeni kuulza kuhusu kitu gani kinamfanya msanii kuwa internatianal make wengine wanadai ni colable na wasanii wa nje wengine ni tuzo wengine ni mziko wake kujulkana nje ya nchi,nakarbsha...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona...
1 Reactions
80 Replies
17K Views
BASATA wamfanye nini snura?. Wampe masharti gani snura?. kitu shindu lina shindua shindu hilo!.
1 Reactions
35 Replies
6K Views
Usher still got it. And ATL never went anywhere.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wambea wenzangu, ninasikia habari ya mjini ni kuwa kuna bwana Mcongo anampunga balaa, anamwaga madolali, sasa bwana alimtumika Steve Nyerere kumpata Wema. Ninavyosikia share ya Steve...
8 Reactions
87 Replies
14K Views
Mkali wa wimbo ‘Kidogo’, Diamond Platnumz amethibitisha ujio wa mtoto wa pili kutoka kwa mpenzi wake Zari. Muimbaji huyo amesema yeye na mpenzi wake Zari wanategemea mtoto wa kiume. “Yah kweli...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Back
Top Bottom