Asalam aleikum.
Najua kichwa cha habari kimewashtua watu wengi sana wale wanaopenda mafanikio ya wasanii wetu na wale wasiopenda maendeleo(wale wapenda bifu).
Hivi majuzi baada ya Diamond...
Katika wimbo wa Baba Tiffah aliofanya collabo na P square, wimbo unaoitwa "Kidogo" naona shooting inafanywa na wazungu, niwazungu wa kampuni gani hao? ina maana Baba T ana maproducer wazungu? Pia...
Huyu jamaa aliibuka miaka ya 2004 hadi 2008 hivi
Akiwa na ujio wa kuitwa "Kizizi",
Baadaye akaja na "Mara 7",
Pia aliachia hadi album.
Alikuwa chini ya G_Productions kama sikosei,
Na...
Huu ndio muonekano mpya wa mtindo wa nywele wa kijana Raymond wa wasafi,kijana anaye hit kwa sasa na ngoma yake ya natafuta kiki kiukweli kwa muonekano huu wa mtindo wa nywele aliouweka naona...
Nijuavyo mimi Gold ni pambo la mwili na pambo maana yake linalenga kuvutia mbele ya macho ndio maana wanawake wanapenda sana kuvaa mapambo ya dhahabu kwani pamoja na kupendezesha mwili bali pia...
Wanajamii mnisamehe tu lakini sina budi kuuliza hata jukwaani yamkini nitasaidiwa. Msanii huyu aitwaye jina la usanii Mainda siku nyingi sijamuona akishiriki katika filamu yuko wapi jamani? Siyo...
Habari zenyu wakuu, juzi juzi hapa zilisambaa habari kuhusu huyu jamaa wakuitwa UDEUDE, msanii na mtunzi wa nyimbo kadhaa za mastaa hapa bongo kwamba alipigwa risasi, akiwa na msanii mwenzake na...
Professor J akiwa na Mama Lisa
Baada ya Mwana FA, Masanja, Zitto kuuga ukapera hatimaye sasa Prof Jay naye yuko mbioni
Rapper huyo ambaye hivi karibuni ameachia video ya wimbo wake mpya ‘Kazi...
Naomba tu kumfahamu huyu jamaa ni nani katika siasa maana nimeona groups mbali mbali whatsup wakinakili alichokipost.
Simfahamu, nataka kumfahamu ni nani?
Msanii wa muziki wa bongo fleva Bob Junior amekamatwa na jeshi la Polisi nyumbani kwao magomeni mapipa Jijni Dar es salaam majira ya saa sita mchana wa leo.
Kwa mujibu wa chanzo cha habari...
Habari wakuu....
Mimi huyu binti namzimia sana swaga zake....Ana kalafudhi flani hivi katamu...Swaga zake huwa zinanifanya nimvutie picha kama TomBoy flani hivi....
Wazee wa mafaili em nisaidieni...
Huyu jamaa kala maharage ya wapi huyu, mbona sikuhizi anatoa ngoma kali tupu? yaani ukifatia trend yake kuanzia ile ngoma aliyomshirikisha Nay wa Mitego 'Tunaishi', Heya Haye ft Blue, Kama...
Hakuna mtanzania asiyejua ya kwamba msanii wa muziki wa bongofleva Emmanuel Elibariki a.k.a Ney wa mitego kafungiwa na BASATA kwamba asijihusishe na muziki kwa muda usiojulikana.
Kwanza niseme tu...
Baada miezi kadha ya mikiki na kurushiana vijembe hatimaye kundi la P.Square wamemaliza tofauti zao ni baada ya Peter Okoye kupitia instagram account yke na kukiri makosa yke.
Kweli Damu n nzito...
Nimebahatika kucheki movie kibao Sana za kibongo... Kwanini katika movie zenu lazma kuwe na haka ka scene ka kuonesha B.O.T ... Why always B.O.T na movie zenu haziwezi kukamilika bila kuonesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.