Wadau bila shaka kama wewe ni mfuasi wa nyimbo za kizazi kipya utakuwa unampata Msanii billnass Anaetamba kwa wimbo wa LIGI NDOGO na CHAFU POZI nyimbo ambazo zimemfanya msanii huyu kujikuta star...
Jamani mwenye historia kidogo kuhusu uliokua muungano kati ya Madilu na Franco. Ilikuje wakaungana wakati Franco alikua na bendi yake. Na hatma yao ilkua je?
Msanii nguli wa mashairi ameeleza kwamba kuna bakteria wanakaa njia ya haja kubwa ambao mtoto huwa anazaliwa nao, na hao ndio wanafanya baadae aje kuwa shoga.
Pia ametaja tabia ya watoto...
Diamond Platnumz amefanikiwa kile ambacho
hakuna msanii wa Tanzania amewahi kufanikiwa
huku kukiwa na wasanii wachache tu wa Afrika
wamekifikia – kuingia kwenye playlist ya kituo
cha redio cha BBC...
President Obama’s eldest daughter, Malia, has made a decision about where she will attend college. And she has chosen Harvard University.
Malia, who is due to graduate from high school next...
Anaitwa JUMA MCHINA SHAROBARO , Msanii wa BONGO FLAVA. Sasa hivi mkali huyo kutoka Gang Zhou amekamata soko la ndani hao wakina Daimond na Ali Kiba watasubiri sana. Mcheki hapa alivyojaza watu...
Farid Kubanda, mzee wa Mwanza Mwanza kaendelea kutikisa jiji kwa mikito yake heavy yenye line kali zilizoshiba ambazo bila kutumia akili kuzichanganua ni lazima akuache njiani. huu ni wimbo wake...
Msaniii Ruby amefanya Cover ya wimbo wa Diamond Platnumz Je utanipenda na kuutendea haki kama vile ni wake akiimba kwa hisia kali sana utafikiri wimbo wake kwa ambao hamjausikia upate hapo Ruby -...
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Natafuta mawasiliano ya Nikki wa Pili. Kuna project nataka kufanya nae. Kama una namba yake ya simu au barua pepe naomba uiweke hapa au nitumie PM.
Wasalam.
Dazbaba au daz mwalimu, huyu msanii alifanya poa sana miaka ya nyuma kidogo akiwa na kundi la Daz Nundaz vilevile alifanikiwa kufanya kazi zake mwenyewe zilizo fanya poa sana kwenye media tofauti...
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungulia Nay wa Mitego kuendelea na shughuli za sanaa baada ya kuwa ametekeleza adhabu (maagizo) zote alizopewa kama masharti ya kumfungulia.
Chini ni...
Mimi hili linanitatiza, labda wenzangu mnalo jibu.Wapo wanaosema kuwa Rais mstaafu ni raia wa Msumbiji na wala si mtanzania, eti aliingia kule Kusini akiwa na umri wa miaka mitano wakati huo na...
Habarini wadau"!!
Unadhani video ipi bora za nyimbo za DIAMOND PLATNUMZ alizotoa tofauti na kampuni ya GODFATHER PRODUCTION ya S.A?
Kwangu naona ya Wimbo wa moyo wangu video iliyotengezwa na...
Upande wa wanaume
Tanzania kuna Diamond na Ali Kiba kwahiyo hapa Tz watagawana kura
Kenya yupo Sauti sol anabeba kura zote, uzalendo kwanza
Uganda yupo Jose Chamelion, Bebe cool na Kenzo nao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.