Safari ya msanii Belle 9 kuitembelea label ya WCB amejifunza vitu vingi na kupata nafasi ya kusikiliza baadhi ya kazi mpya za Diamond Platnumz ambazo bado hazijatoka hewani.
Sasa leo August 30...
Wimbo wake wa kwanza wa amadai kabla hajaanza mahusiano na shilole(shishi baby) ulikua ni omario ambao alizungumzia jinsi ambavyo analelewa na mwanamke.
Na katika nyimbo aliomba mwanamke...
Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya UKUTA...
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho anaona si sawa.
Anasema redio za mikoani ndizo zimekuwa...
Hivi shilole kwanini anapenda kuwachukua vijana wadogo?
Ni kwamba wanamfurahisha zaidi kitandani au sababu anaweza kuwamudu kwa kuwapiga makofi? Kama ilivyo kwa Madee mpaka akamkana demu wake wa...
Mwanariadha wa Jamaica, Usain Bolt (30) ameingia kwenye kashfa baada ya picha zake kadhaa akiwa na mwanafunzi wa kike wa Rio wa miaka 20 kusambaa mtandaoni.
Mwanafunzi huyo ambaye ametambulika...
Msanii mkongwe wa muziki kutoka Morogoro, Afande Sele amedai anashikiliwa na jeshi la polisi mkoani Morogoro kwa madai anagawa pesa kwa watu ili kuwashawishi wajitokeze katika maandamano ya UKUTA...
Akina dada wa mjini hasa wa Bongo movie wameanza kujipendekeza kwa Mbwana Samatha hasa baada ya kuwa amechukua Tuzo ya mchezaji bora wa Afrika upande wa wachezaji wa ligi ya Ndani.
Akina dada hao...
Alex Ssempijja mwenye miaka 14 kutoka Katwe amefariki siku ya Jana Jumatatu usiku baada ya ajali ya Baiskeli Mjini Kampala, Mwanamuziki Eddy Kenzo amethibitisha.
Kwa wale wasiomfahamu marehemu ni...
Hili lipo wazi!!!!!! Nani asiyemjua Nasibu Abdul ( Diamond platinumz). Ni msanii mwenye mafanikio makubwa kwa Tanzania na Africa kwa ujumla, ni msanii ambaye amejizolea sifa nyingi kupitia kazi...
Rapa mkongwe kutoka kundi la East Coast, King Crazy GK ameamua kuingia Studio kwa Alonem ambapo amebadili maudhui ya uimbaji wake kutoka kurap na kufanya muziki wa kuimba huku video akiifanya na...
Chris Brown is led away after being arrested on suspicion of assault with a deadly weapon following 11-hour standoff at his £3m LA mansion where he 'pointed a gun at beauty queen's head'...
Mhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.
Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia...
Msanii namba mbili nchini bwana mdogo Diamond Platinumz amemfunika vibaya French Montana katika kolabo yao waliorekodi mwezi uliopita nchini Marekani.iliyopewa jina la NYC to DSM. Tuliopata nafasi...
Kuna huyu bwana mdogo anaitwa Steve Mangere, siku za nyuma tulizoea kumwona katika majukwaa akimwigiza sauti hayati Baba wa Taifa, kutokana na hilo akaanza kujiita Steve 'Nyerere', hivi siku hizi...
Waliokamatwa na 'unga' wa mabilioni ni mabinti
- Wote ni Watanzania, walianzia safari Dar, washikiliwa Afrika Kusini
NA THOBIAS MWANAKATWE | 9th July 2013
Wanawake wawili raia wa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.