Usipende kuibia!hadithi yako inatufundisha nini?
Au tayari mwanga huyowhat about Dab style,what abou shokii style,what about kibega style wangap wamecheza hio style,una wivu wa ajabu kwa dalil hizo za wivu upo kwenye hatua za mwisho za kuwa MCHAWI
Ahaaaaaa,basi sawacndo anatafta kiki xx
Well huyo dogo ni dancer na nimekuwa namkubali kwa miaka kadhaa sasa,nilipoona video ya Ray ikanikumbusha staili ya hao madogo!Ndio nimeweka taarifa hapa!Hata wewe sasa umejua kuwa sio ubunifu wao!Unataka uonekane mfuatiliaji mzur sana wa video za mbele? Kwaiyo mtu akitingisha bega tu kamuiga mtu? Basi hawa wasanii wa boringo wanaigana kupitiliza maana kila nyimbo lazima madansa wakate viuno.
Mi nimeweka tu hapa ili mjue sio ubunifu wao!Ni taarifa tu!Mbona mkali hivyo,au hupendi kuhabarishwa!Cha msingi ushaelewawhat about Dab style,what abou shokii style,what about kibega style wangap wamecheza hio style,una wivu wa ajabu kwa dalil hizo za wivu upo kwenye hatua za mwisho za kuwa MCHAWI
Nani kasema ni kosa?Mi nimetoa tu taarifa ili mbunifu na mwanzilishi wa hiyo style aendelee kujulikana!kwani kuna ubaya gani kutoa taarifa kama hii?Kakojoe ukalale..ka wameipenda style ni kosa? Video ngapi Wana dab sasa hivi?jibu ni nyingi sema nafurahi kwakua umeiangalia so ni vizuri
Mi mwanga popobawa,nitakutembelea!!!!!Iohoo halafu si unajua nikija mara moja sharti uwahadithie wenzako ili nisije tena!Au tayari mwanga huyo
Wewe na nani?Usipende kuzungumzia nafsi za watu wengine!Sasa sisi hatumjui huyo dogo tunamjua Raymond
Kwann mkuuNimecheka sana