Msanii Alawi Junior amesema nyumba aliyodai kununua Baraka yeye ndio alimtafutia mama mkwe wake ambaye alikuwa anatafuta nyumba na alipo post kumpongeza mama mkwe hakujua kwamba Baraka alikwisha...
Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.
Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika...
Star wa bongo movie Anti Ezekieli amedai kuwa aliyekuwa mpenzi wa mose iyobo anamuandama sana
Anti ezekieli amedai mwanamke huyo amekuwa akituma watu kuja nyumbani kwake na kuchota mchanga kwa...
Mimi na bi mdogo ni wapenzi sana wa nguo na vitu vya Ralph Lauren kwa ujumla.
Sasa jana katika pitapita yetu kwenye duka lake [Ralph Lauren] wakati tukitafuta nguo za majira ya Fall tukakutana na...
Natamani Dully aingie kwenye hizi tuzo kwa mwakani ktk kipengere cha Msanii Chipukizi kama alichoshinda Harmonize jana.Tena waingie Dully Sykes na T.I.D Mnyama ktk kipengere hicho huku Harmonize...
Socialite wa kenya Hudda Monroe amesema anamsubiria kwa hamu Raymond wa WCB akipata hela, hiyo ni baada ya Raymond kupost picha mtandaoni kuuliza mashabiki ni nini kinachomsibu?
Kama ushawai isikia hii ngoma unaweza ukakubaliana na mm kuwa hii ngoma ni moja ya collable bora kabisa kuwahi kufanyika apa bongo
Hapa solo sang pale prof na katikati mfalme wa rhymes afende...
Inavyoonekana kaunti 001, au ukipenda kaunti ya Mombasa inatarajiwa kupata masupastaa mpwito mpwito mwaka huu.
Baada ya kumleta Chris Brown Mombasa, Gavana wa Mombasa, Gavana 001, almaarufu...
Mchekeshaji maarufu Stan Bakora amefunguka juu ya povu
lililomtoka Barakah The Prince siku kadhaa baada ya
kuachia parody ya wimbo ‘Nisamehe’.
Kupitia kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Stan...
Baada ya Team Wema au wafuasi wa Wema au Wema fans kumponda Wema kwa kutomsupport Idris Sultan katika kuwania nafasi ya Kuhost tuzo za MAMA.
Wema akasirika nakuwatukana washabiki wake!
vp...
Huyu sister namzimia kichizi ( I can also confess I'm secretly in love with her).
Kaenda shule na ana akili na hana mambo kama ya hawa dada zetu wengine wa mjini ktaka u sloopu tuuu.
I wish...
Haya sasa naona taratibu ule ubishi wa kuwa nyimbo za Afrika hasa Tanzania hazichezwi kwenye vituo vya Radio za Marekani unaelekea kuisha!
Dj Joh wa 93.1 Marekani akihojiwa na Millard Ayo...
Binafsi nimechunguza kwa umakini sana na huu ndio msimamo wangu! Wafuatao ndio wanamuzuki nguli kabisaa;
1. Linex
2. King Kiba
3. Chegge
4. Afande Sele, na
5. Juma Kassim Nature, Kiroboto
Mimi...
Ndugu zangu,kumradhi Kama kuna watu watanielewa vibaya,lakini tufike hatua tujue kuwa nyeupe itabaki kuwa nyeupe,na nyeusi itabaki kuwa nyeusi.
Nimekuwa nikiwaskia Alikiba na Diamond wakihojiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.