Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii Alawi Junior amesema nyumba aliyodai kununua Baraka yeye ndio alimtafutia mama mkwe wake ambaye alikuwa anatafuta nyumba na alipo post kumpongeza mama mkwe hakujua kwamba Baraka alikwisha...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii. Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika...
15 Reactions
159 Replies
35K Views
MTV EMA 2016 | 6.11.2016 | Rotterdam | Vote - Best Africa Act
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Star wa bongo movie Anti Ezekieli amedai kuwa aliyekuwa mpenzi wa mose iyobo anamuandama sana Anti ezekieli amedai mwanamke huyo amekuwa akituma watu kuja nyumbani kwake na kuchota mchanga kwa...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
As of July 2016. 5.Emmanuel Jal(Sudan)--Bilioni 4.3 Tsh 4. Jaguar(Kenya)-- Bilioni 6.5 Tsh 3. Akothee--Bilioni 7.6 Tsh 2. Diamond Platnumz(Tanzania)--Bilioni 8.7 1. ☆☆Jose...
3 Reactions
31 Replies
21K Views
  • Closed
Mimi na bi mdogo ni wapenzi sana wa nguo na vitu vya Ralph Lauren kwa ujumla. Sasa jana katika pitapita yetu kwenye duka lake [Ralph Lauren] wakati tukitafuta nguo za majira ya Fall tukakutana na...
27 Reactions
497 Replies
39K Views
Habari zenu, naomba mwenye kufahamu, ni kitambo sijamsikia huyu mwimbaji, Nawasilisha.
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Natamani Dully aingie kwenye hizi tuzo kwa mwakani ktk kipengere cha Msanii Chipukizi kama alichoshinda Harmonize jana.Tena waingie Dully Sykes na T.I.D Mnyama ktk kipengere hicho huku Harmonize...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Orodha kamili kuanzia 20 hadi 1. 20. Olamide--Bilioni 2.7 Tsh 19. Patoranking--Bilioni 2.7 Tsh 18. Yemi Alade -- Bilioni 3.9 Tsh 17. Duncan Mighty -- Bilioni 4.8 Tsh 16. Chidinma --...
5 Reactions
63 Replies
22K Views
Socialite wa kenya Hudda Monroe amesema anamsubiria kwa hamu Raymond wa WCB akipata hela, hiyo ni baada ya Raymond kupost picha mtandaoni kuuliza mashabiki ni nini kinachomsibu?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama ushawai isikia hii ngoma unaweza ukakubaliana na mm kuwa hii ngoma ni moja ya collable bora kabisa kuwahi kufanyika apa bongo Hapa solo sang pale prof na katikati mfalme wa rhymes afende...
19 Reactions
68 Replies
10K Views
A musical journey of faith that follows Britain's first female Muslim hip-hop duo on tour. http://aje.io/e4qg
2 Reactions
1 Replies
639 Views
Inavyoonekana kaunti 001, au ukipenda kaunti ya Mombasa inatarajiwa kupata masupastaa mpwito mpwito mwaka huu. Baada ya kumleta Chris Brown Mombasa, Gavana wa Mombasa, Gavana 001, almaarufu...
2 Reactions
87 Replies
15K Views
Mchekeshaji maarufu Stan Bakora amefunguka juu ya povu lililomtoka Barakah The Prince siku kadhaa baada ya kuachia parody ya wimbo ‘Nisamehe’. Kupitia kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Stan...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Baada ya Team Wema au wafuasi wa Wema au Wema fans kumponda Wema kwa kutomsupport Idris Sultan katika kuwania nafasi ya Kuhost tuzo za MAMA. Wema akasirika nakuwatukana washabiki wake! vp...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Huyu sister namzimia kichizi ( I can also confess I'm secretly in love with her). Kaenda shule na ana akili na hana mambo kama ya hawa dada zetu wengine wa mjini ktaka u sloopu tuuu. I wish...
7 Reactions
55 Replies
17K Views
Kwa mujibu wa east africa tv mwadada Wema sepetu leo anatimiza miaka 27 ya kuzaliwa Hivi huku duniani kuna watu miaka yako haiongezeki aisee
15 Reactions
119 Replies
19K Views
Haya sasa naona taratibu ule ubishi wa kuwa nyimbo za Afrika hasa Tanzania hazichezwi kwenye vituo vya Radio za Marekani unaelekea kuisha! Dj Joh wa 93.1 Marekani akihojiwa na Millard Ayo...
5 Reactions
46 Replies
7K Views
Binafsi nimechunguza kwa umakini sana na huu ndio msimamo wangu! Wafuatao ndio wanamuzuki nguli kabisaa; 1. Linex 2. King Kiba 3. Chegge 4. Afande Sele, na 5. Juma Kassim Nature, Kiroboto Mimi...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Ndugu zangu,kumradhi Kama kuna watu watanielewa vibaya,lakini tufike hatua tujue kuwa nyeupe itabaki kuwa nyeupe,na nyeusi itabaki kuwa nyeusi. Nimekuwa nikiwaskia Alikiba na Diamond wakihojiwa...
18 Reactions
56 Replies
7K Views
Back
Top Bottom