Nimeyaona mahojiano ya Iive kati yako salam na DJ wily tuva then ya ali na wily ,
Kwanza hakuna haja ya ali kuomba msamaha kwa kusema show ilizimiwa backstage na we we kuita ni upotoshaji kwamba...
Abdu Kiba ameelezea kuwa Ali Kiba hafanyi nae kolabo kwa kuwa Ali Kiba yupo bize na wasanii wengine
Pia amesema hana mpango wa kwenda wasafi ila anaweza kufanya nao kolabo
Well! well! well!.. Leo nmepanda hapa JF kivingine kabisa japo bado niko kule kule kwenye Burudani na Leo nitawapatia angalao Biography ya wakali hawa wa dance ulimwenguni. Linapotajwa jina la...
Apo chacha!!
Mrembo kutoka Bongoflevani Naj ambaye kwa sasa ni
mpenzi wa mkali anayemiliki mdundo wa ‘Nisamehe’ Baraka
the Prince, Leo October 15 anazichukua headlines baada ya
kuelezea exclusive...
Nimeangalia show TBC ya club raha leo, nimegundua Chokoraa ni mpiga show hatari sana Tanzania.
Nipo masomoni Marekani nikirudi namtafuta aseee.
Hongera sana watanzania kwa kubarikiwa vipaji, huo...
Hii kitu sio mara ya Kwanza kutokea malumbano kati ya Ali na Sallam.
1.Show ya Tigo Dar es salaam
mwaka jana kwenye show ya Tigo ambayo wasanii A List wa bongo flava wote walikuwemo ila baada ya...
Mpaka sasa BANK ALERT ya P SQUARE imetazamwa mara 702,019 kwa SIKU TATU(three days ago) wakati SALOME ya DIAMOND imetazamwa mara 655,513 kwa SIKU MOJA(one day ago)....inawezekana ikifikisha siku...
Baada ya Nay wa Mitego kudai kuwa muimbaji huyo wa ‘Nisamehe’ na Stan Bakora ni watoto na kwamba huenda wanatafuta kiki, ameibuka na kudai kuwa rapper huyo hana akili na ni mp*mbavu.
“Nay hana...
Wakuu Salaam Sana.
Nimejaribu kusikiliza mahojiano ya diamond kwenye kipindi cha Jahazi kazungumzia suala la TRA kwenda kumdai kodi ilihali yeye kama msanii akiwa bado anadhulumiwa haki zake hasa...
Saida Karoli atanufaika na ‘Salome’ wimbo mpya wa Diamond ambao una vionjo kutoka kwenye wimbo wake wa ‘Chambua kama karanga’
Diamond amesema kuwa mwanamuziki huyo mwongwe wa nyimbo za asili ana...
Nikisikikiza nyimbo za ngwair huwa nashindwa kuelewa kuwa alikuwa anasimamia misingi gani kati ya rap au hip hop....
Cjawai kusikia ngoma ya ngwair yenye misingi kabisa ya zile hip hop kama za...
Baada ya AliKiba kudai alifanyiwa ‘figisu’ kwenye tamasha la Mombasa Rocks Music Festival lililofanyika weekend iliyopita huku akimtuhumu meneja wa Diamond, Sallam kuhusika, Sallam amefuguka na...
By Daryl Nelson
Beanie Sigel sat down with The Breakfast Club to discuss his current beef with Meek Mill, since they’ve been insulting each other in the media for the past couple of weeks...
Who is the best rapper, and who is the most recognized legend kati ya Profesa Jay na Mr II/SUGU!?
.., Joseph Haule 'Profesa Jay' na Joseph Mbilinyi 'Mr II/SUGU'.., wote ni rapa wa muziki wa...
By Theo Bark
Chamillionaire once met his hero Michael Jordan, but it didn’t go so well. The Houston, Texas rapper, crossed paths with Jordan at a party for the basketball legend after recently...
Kwa kweli huyu dada anatia hasira sana na ulimwengu wa sasa hivi pesa imetufanya binadamu wengi tuwe vichaa kwa kufanya mambo ya ajabu ili tuu mkono uende kinywani na kupata kick za kipumbavu...
Habari,
Ali Kiba - Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo
Ali Kiba aliwahi kuonesha dharau kubwa kwa mashabiki wao kuwa yeye ahitaji Tuzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.