Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Apo chacha!! Ukimwaga mboga wenzio wanamwaga ugali. Ukweli wafahamika baada ya mara kadhaa rapper Young Dee kukanusha kuwahi kuwa na mahusiano na video vixen kutoka kwenye kiwanda cha Bongo...
7 Reactions
295 Replies
68K Views
Ali Kiba kafanya interview na mzazi Willy Tuva kuhusu tuzo za MTV leo na ametoa onyo kali sana kwa watu wenye tabia ya kuzima mic wakati anafanya yake jukwaani. Ali Kiba amesema kuna uwezakano...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Hatutaki teams....team kiba sjui team diamond, team zari, team esma, team sandra, team mobeto, team wema,..team jokate,, shiwalandu sjui what what...hatutaki,, hatutaki uswahili,tufanye kazi na...
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Usiku wa jana Tuzo za MTV mama Zilitolewa huko South Africa! Wanigeria waliibuka vinara baada ya kuchukua tuzo nyingi kuliko nchi yoyote Afrika! Na zile tuzo kubwa zote zilienda Nigeri kama Best...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HIVI NDIVYO HALI HALISI ITAVYOKUWA JK:MTANIKUMBUKA
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Zikiwa zimebaki takribani siku 4 kufanyika kwa tukio kubwa la kihistoria la tuzo za Mtvmama 2016, Huu ufuato ni utabiri wangu juu ya washindi wa tuzo hizo. 1.Best Male Artist - Wizkid (,Nigeria)...
6 Reactions
94 Replies
10K Views
Mashabiki wa Beyonce wanaumia pale Beyonce atakapoumia. Beyhive wameanzisha kampeni ya kujikata baada ya Beyonce kujiumiza bahati mbaya kwenye sikio na kutoka damu wakati anatumbuiza kwenye...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Anaitwa Jennifer Kyaka, ila wengi wamezoea kumuita ODAMA, jina ambalo liliibuka kwenye movie ya Odama aliyoigiza, ambapo yeye alicheza kama mhusika mkuu. Alizaliwa mnamo mwaka 1983 jijini Mwanza...
0 Reactions
31 Replies
26K Views
Habarini ndugu zangu. Leo ningependa tu kujua kuwa ni nini haswa umuhimu wa hzi tuzo zinazotolewa? Je , baada ya kupewa tuzo huwa unapewa na pesa kidogo? Je, nauli ya kwenda huko marekani...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Msanii wa muziki na mwalimu wa dance, Msami Giovani anayefanya vizuri na wimbo wake ‘Step by Step’ amesema Barakah The Prince bado hana nguvu ya kuwa mume wala kuwa mchumba wa Najma. Ametoa kauli...
13 Reactions
56 Replies
7K Views
Nimekua nikisikiliza vipindi mbali mbali vya michezo katika radio nchini tanzania Wachambuzi wengi wa michezo ni wengi sana wazuri lakini hawa wawili kwangu hakuna mfano wake kwa hapa nchini...
1 Reactions
33 Replies
9K Views
Habari wanajf! Nina hoja fupi ningependa tujadili kidogo.Ni hili suala la wasanii wetu wa kiume;aidha wa muziki au filamu kuvaa hereni.Suala hili limeshika kasi na wale wanaoitwa chipukizi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Leo ndio ile siku ambayo Tuzo za MT mama zinatolewa na wasanii kibao washafika south Africa Interview nyingi zinaendelea huko South Afrika lakini ni ukweli usio Pingika kwa kinacho Endelea Huko...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Jokate ambaye alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo, alisema kuwa serikali peke yake haitaweza kutatua changamoto mbalimbali katika sekta ya elimu na nyinginezo na hivyo inahitaji msaada kutoka...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Davido ni mega superstar, na ni msanii ambaye amesign na Sony internationa ndani ya management mpya. Ndani ya wiki mbili zilizopita ameachia ngoma mbili, gbagbe oshi na ingine. Lakini nimeshangaa...
6 Reactions
54 Replies
7K Views
Nilikuwa nategemea kuna siku kama hii itafika. Tangu Jay Z na Beyonce watose kuhudhuria harusi ya Kanye West na Kim Kardashian miaka miwili iliyopita, urafiki wa Yeezy na Hov uliingia matatani...
3 Reactions
34 Replies
7K Views
Kwanza niseme mapeeeema mi sio team kibakuli wala team domondo... Ok nikija kwenye point ni hivi wote tunajua kuwa mwaka huu tuzo za kili hazitakuwepo ila tuzo pekee zitazofanyika kwa hapa bongo...
6 Reactions
76 Replies
7K Views
Akiongea na mimi wakati alipokuwa ziarani nchini China hivi karibuni, mwanadada huyu machachari na maarufu nchini, amesema atafungua duka la chupi zenye label ya maneno "Endless Fame" kwa upande...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Hivi kipindi gani ni kizuri zaidi kati ya friday night live kinachoendeshwa na Sam Misago na Ommy Crazy wa EATV au D'Wikend chat show kinachoongozwa na Soudy Brown na QWhiser wa Clouds tv...
4 Reactions
126 Replies
15K Views
Back
Top Bottom