worldboss
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,225
- 2,287
Mchekeshaji maarufu Stan Bakora amefunguka juu ya povu
lililomtoka Barakah The Prince siku kadhaa baada ya
kuachia parody ya wimbo ‘Nisamehe’.
Kupitia kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Stan
amesema kuwa kama asingefanya vile video ingekuwa ya
kawaida tu na isingeleta maana.
Barakah ameshindwa kuelewa. Kama nisingefanya vile ile
video isingeleta maana, lazima uonyeshe uhalisia. Kwani
Baraka si mweusi kweli?,” amesema Stan. Stan aliendelea
kwa kumtania Barakah kwa kumwambia kuwa hapa mjini
[Dar es Salaam] ndio kwanza ana Christmas mbili.
Awali baada ya Stan kuachia parody hiyo, Barakah aliandika
kwenye Instagram: Matani ni mazuri ila yakizidi yanaweza
kuleta matatizo… heshima ichukue nafasi yake tafadhali
mzee utani huu sijaupenda iwe mwanzo na mwisho
tafadhali.”
lililomtoka Barakah The Prince siku kadhaa baada ya
kuachia parody ya wimbo ‘Nisamehe’.
Kupitia kipindi cha Friday Night Live cha EATV, Stan
amesema kuwa kama asingefanya vile video ingekuwa ya
kawaida tu na isingeleta maana.
Barakah ameshindwa kuelewa. Kama nisingefanya vile ile
video isingeleta maana, lazima uonyeshe uhalisia. Kwani
Baraka si mweusi kweli?,” amesema Stan. Stan aliendelea
kwa kumtania Barakah kwa kumwambia kuwa hapa mjini
[Dar es Salaam] ndio kwanza ana Christmas mbili.
Awali baada ya Stan kuachia parody hiyo, Barakah aliandika
kwenye Instagram: Matani ni mazuri ila yakizidi yanaweza
kuleta matatizo… heshima ichukue nafasi yake tafadhali
mzee utani huu sijaupenda iwe mwanzo na mwisho
tafadhali.”