Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hakika wewe ndo kioo cha taifa letu ktk masula ya muziki kimataifa.ushauri wngu kwako hakikisha unavaa lebo ya taifa letu kama jezi za taifa stars au nguo yeyote yenye jina la Tanzania.Big up sana...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Mavazi haya ya kibongofleva mbona yanaelekea pepo za kusi. Anyway namngoja ageuke.
3 Reactions
89 Replies
14K Views
1. SALLAM: 'Alikiba kama amekosea yeye anatakiwa kuomba radhi mashabiki wake na Promota, pia aombe Mungu next time kila kitu kiende vizuri' 2. SALLAM: 'Wakati Alikiba anatumbuiza sikuwepo kabisa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Vanessa mdee ambaye pia ali pafomu Mombassa ametaja sababu iliyosababisha Ali Kiba kuzimiwa mic ni kuwa Chris Brown aliingia akiwa hana mood nzuri, kwa hivyo ili kumfurahisha wale waandaji ikabidi...
4 Reactions
85 Replies
18K Views
Hatimaye Diamond ametoa sababu ya kutopanda jukwaa la fiesta 2016,Akihojiwa na kipindi cha jahazi cha clouds fm Diamond amesema kuwa ndoa(mkataba) yake na vodacom ndio sababu inayomfanya...
17 Reactions
81 Replies
15K Views
Kijana Baraka kutoka Mwanza ameonesha nyumba yake ikiwa katika hatua za mwisho za ujenzi. Hongera sana kwa hatua hiyo kama kweli ni yako maana wasanii ninyi hamuachi usanii kwa kila jambo.
3 Reactions
101 Replies
25K Views
Aidan Charlie ambaye ni meneja msaidizi kutoka kwenye Menejimenti ya mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba ameongea kuhusu tuhuma mbalimbali zilizotolewa dhidi ya Alikiba kutokana na show ya Mombasa...
8 Reactions
44 Replies
6K Views
Apo chacha!! Belle 9 amesema hafikirii kabisa kufanya muziki wa Singeli. Muimbaji huyo wa R&B amesema huo ni muziki wa kupita na katu hauwezi kudumu. Alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa swali na...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Etiii !! We unahisi hapa macho yalikua yana angalia kiungo gani kwa huyu mwanadada
0 Reactions
13 Replies
3K Views
U hali gani Ali Kiba? Natumai u mzima kabisa na unaendelea vyema na shughuli zako za muziki. Mimi kama shabiki/mpenzi na mfuasi wako napenda kukupongeza kwa kitendo chako cha kishujaa na chenye...
33 Reactions
357 Replies
31K Views
Wadau nauliza tu hivi TZ kuna msanii yeyote anayemzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?? Kiba namuona mbinafsi na mnafki kwa kuwa sijawahi kuona hata mara moja akimu wish mtu yeyote siku ya...
21 Reactions
191 Replies
19K Views
Yule mkuu wetu ukimruhusu kuongea tu lazima achafue hali ya hewa Eg tetemeko halikuletwa na serikali...fanyeni kazi Yaani yule jamaa angekaaga kimya atende tu si tuone ila akiongea lazima...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Huyu ni diamond mpya aliyetokea nchini Kenya Diamond fake anafanana kwa kila kitu na diamond platinums jina lake kamili anaitwa willy Paul daaah ebu mcheki hapa....
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari, Naomba kujua nani anayefahamu historia fupi kuhusu mtangazi wa zamani Clouds, BBC na kwa sasa Azam, Abdul mohamed anatokea mkoa gani? Mwenye uelewa please
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu mnakumbuka tukio la Kiba kuzimikiwa na mic kwenye tamasha la Mombasarocks? Akihojiwa na kipindi cha Mseto Citizen na mzaz Willy Tuva, Kiba alidai kuzimika kwa mic yaweza kuwa ni figisu za...
2 Reactions
306 Replies
43K Views
Habari wakuu... Huyu kijana nimekuwa nikiona watu wengi wakimdiss lakini sasa naamini baada ya kutokwa povu na kummind Stan Bakora kisa kucreate cover video ya wimbo wake na kujipaka masizi usoni...
1 Reactions
67 Replies
22K Views
Baada ya Wizkid kutumbuiza nyimbo zake zote ndipo alipopanda mzanii wa bongo Alikiba na alipoanza kuimba mike yake ikazima baada ya kurekebisha msanii uyo aliimba nyimbo 2 tu maarufu , nyimbo za...
3 Reactions
104 Replies
17K Views
Muigizaji na mchekeshaji kwenye tasnia ya Bongo Movie, Tausi, amesema hana mahusiano yeyote nje ya kazi na Hemed PHD huku akisema huwa wanakutana kambini na hana hata namba ya simu ya msanii huyo...
3 Reactions
55 Replies
11K Views
Tanzanian artiste Ali Kiba found himself swimming in murky waters when he appeared late for his performance at the Mombasa Rocks Festival held at the Mombasa Golf Club last Saturday. The event...
2 Reactions
102 Replies
18K Views
Back
Top Bottom