Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Msanii wa bongo movie shamsa ford amesema kuna wanaomuombea mabaya aachike ila watasubiri sana kwani kuachana na mumewe ni mpaka kifo Pia amesema kuwa hajaacha kuigiza bali anatengeneza kwanza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimetoka kucheki nyimbo mpya mpya ya mzimbambwe Jah Prayzah aliomshirikisha Diamond Patnumz inatwa watora mari nawe.Nasema ni moja ya nyimbo kali nilizozisikia mwaka huu lili kitu kipo on point...
9 Reactions
122 Replies
26K Views
Pengine 'Aje' inaweza ikawa nyimbo ya mwisho ya Ali Kiba chini ya producer Abby Dad ambaye ametengeneza nyimbo kadhaa za Ali Kiba. Abby dad ametengeza hits kama #Nagharamia #Chekecha na #Aje...
2 Reactions
93 Replies
18K Views
Nmekuwekea hii caption ya jamaa aliyeamua kuboost video yake YouTube kupitia jina "Diamondplatnumz new song2016" ila ukifungua cyo ya diamond, ni vile watu wanaona I'll jna nakutaman kuona iyo...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Unajua vile inakua safi eeh...Weusi and their king Joh Makini team up with Mzee wa Masauti Bella Nyimbo nzuri sana.... Christian Bella katika maneno ya wimbo huo anasema "utatunza penzi langu...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Dj majay jana amefungua kituo chake cha TV ambayo inaonekana no 115 katika king'amuzi cha Startimes, ipo so clear, sound inasikika vizuri ingawa naona logo bado haijakaa poa. Ujitahidi utuletee...
20 Reactions
76 Replies
11K Views
Kutokana na ngoma aliyotoa Darassa kuifunika ngoma ya Rich Mavoko aliyomshirikisha Diamond, inasemekana kuna dalili tosha kuwa Diamond kijiti anaanza kumpatia Darassa taratibu bila yeye kujua. Je...
10 Reactions
97 Replies
12K Views
Msanii Nisha kwa mara nyingine tena amepata title ya u 'single parent'... Ni baada ya kupewa mimba na kisha kuachana na baby dady wa kijacho hiko bila hata kusubiri mrembo huyo ajifungue...
2 Reactions
73 Replies
10K Views
"Nivae chupi ya nini? tena ningewashauri wadada wasivae chupi kubana matumizi" Hayo yamesemwa na mwanadada machachari maarufu kwa jina la Gigy Money. Baada ya video queen, Gigy Money kusemwa...
0 Reactions
111 Replies
40K Views
Jumanne hii ilikuwa ni birthday ya mkali wa wimbo Aje, Alikiba ambapo aliungana na uongozi wake kwenda mbuga ya wanyama ya Serengeti National Park kwa ajili ya kusherekea siku hiyo muhimu katika...
3 Reactions
59 Replies
9K Views
Ni nadra kuona Alikiba akifanya sherehe kubwa kwaajili ya birthday yake. Lakini mwaka huu muimbaji huyo wa Aje aliamua kufanya kitu tofauti. Nimeuuliza uongozi wake sababu ya mwaka huu kufanya...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
MTV Europe music Awards 2016 ilifanyika weekend iliyopita ambapo Mtanzania mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba alikuwa akiwania tuzo ya BEST AFRICAN ACT ambayo ilitangazwa siku ya tukio mshindi ni...
20 Reactions
295 Replies
33K Views
Katika vitu ambavyo huwa naishangaa clouds fm ni kutopiga nyimbo za wasanii ambao ilishagombana nao huko nyuma.kama mnavojua ile Antivirus volume one na two,kwa kweli clouds walitukanwa sana mle...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
We specialize in balloon deliveries covering the entire Sydney Metropolitan area. Make your corporate event shine using Balloon Arches, Balloon Columns, Balloon Bouquets, Sculptures, Table...
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Msanii wa siku nyingi wa bongo movie Jb amestaafu kuigiza bongo movie, hii imesikitisha sana wadau wa sanaa, kuanzia mashabiki hadi wasanii wenzake..
3 Reactions
47 Replies
8K Views
Hongereni kwa kumaliza tofauti zenu.
3 Reactions
159 Replies
18K Views
2 Reactions
41 Replies
6K Views
Hiyo photo mtajuana Eric omond mwenyewe. Sasa haya uislamu yanakujaje?
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hivi nini kinaendelea? ni mental issues au kuna mengine? nimeona kuna watu wanahusisha na Illuminati.... nimeona clip ya DMX.... Kanye West ana tatizo gani hasa? Paulo Sergio De Souz Nyani...
9 Reactions
165 Replies
24K Views
Back
Top Bottom