Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Habari wakuu. Kwa waliopata nafasi ya kucheki video mpya ya msanii wa kike kutoka nigeria Chidinma na wimbo wake wa "Fallen in love" watakubaliana namimi katika hili. Huu wimbo wa bimdada...
6 Reactions
47 Replies
50K Views
Najitaidi kupenda na kumlike kwakuwa anatuwakilisha out ila dah labda moyo una kasoro Eeeeh jamani nisiwe muongo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Picha ya cover la Vibe Magazine, lililotoka siku ya jana, imeonekana kutengeneza gumzo miongoni mwa raia kibao, hasa kutokana na suruali na viatu alivyokuwa amevaa msanii Ommy Dimpoz. watu wengi...
2 Reactions
124 Replies
23K Views
Msanii Irene Uwoya amesema sasa hivi haigizi tena movie kwa kuwa soko lake limedoda na badala yake atakuwa anacheza series kwani ndio zinazouza Ila amedai kuna movie walizocheza zamani zinakuwa...
1 Reactions
59 Replies
9K Views
Baada ya kusikia kijana kapewa dhamana nikadhani itakuw vyema dogo atakuwa amekuw sasa kutokan na balaa lililomkuta na post zake insta sasa leo nafungua insta nakuta ni kama ameweuka sasa matusi...
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Tunajua wimbo wa Bado wa Harmonize na Diamond umetoka kitambo kidogo na video yake ilifanyikia South. Nachojiuliza ilikuwaje Ali Kiba na Ommy Dimpoz wakaamua nao wakafanyie video eneo lile lile...
1 Reactions
26 Replies
7K Views
Msanii Dully sykes alimind watangazaji waliokuwa wanamhoji baada ya kumuuliza kuhusu bifu la diamond na ommy dimpoz Dully amesema hawezi kujibu hilo sababu huo ni u-shilawadu na yeye hapendi na...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Who doesn't know diamond!? Who Every body does!! Diamond has proved himself to be most brilliant Artist over all African artist from Tz.I know you could say Nigerian ,For Nigerian the musical...
2 Reactions
16 Replies
6K Views
Wamefukuzwa bila kuoneshwa maeneo yakufanyia biashira zao hivi selekali mnatuonaje sisi wenye hali ya chini?
0 Reactions
3 Replies
756 Views
Navy Kenzo wameachua kazi mpya huku wakiamini kazi hii itatoboa hadi Marekani. Video ya nyimbo hii ndo wametumia gharama kubwa kuliko nyimbo zao zote.
9 Reactions
94 Replies
14K Views
Baada ya wiki chache kupita toka msanii wa bongo fleva, ommy dimpozi, kupost picha kwenye ukurusa wake wa instagram, ikimuonyesha staa huyo akiwa amevaa suruali inayoonyesha kitu chenye muonekano...
1 Reactions
86 Replies
28K Views
Msanii Young Dee amedai Tunda ni mpenzi wake na hawajawahi kuachana, pia amesema anampga ushauri wa kumbadilisha kwenye maisha ndio maana anapagawa naye sana
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Naskia man Fongo anamla masogange Agnes . Et kweli wadau?
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari ya mjini kwa sasa ni kuwa hitmaker wa ngoma ya mziki na too much Darasa yupo mbioni kutia wino ndani ya WCB Si huyo tu pia mwanadada mwenye sauti inayomtoa nyoka pangoni ambaye pia ni...
3 Reactions
75 Replies
18K Views
Katika pita pita zangu huko nimekutana na hii Male, 39 years old | Never Married Dar Es Salaam, Dar Es Salaam New in here, but someone special is needed Am looking for someone who is me, but in...
5 Reactions
42 Replies
4K Views
Ni Bony Wilfried mchezaji wa Manchester City anayecheza kwa mkopo katika club ya Stoke City. Angalia hii clip ya Instagram kutoka kwenye verified account yake.
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Wanajamvi wasalaam, Baada ya Ommary Nyemo kumtuhumu wazi wazi Nassibu Abduli kuwa ana nunua views na tunzo bila kuwa na uthibitisho na bila aibu Ommary Nyemo ili kuwathibitishia watu kuwa kuwa...
15 Reactions
124 Replies
14K Views
Tunda amechoka kuulizwa maswali kuhusiana na kuonekana kwenye video ya Diamond ya wimbo Salome aliomshirikisha Ray Vanny. Ni kwasababu anajiuliza, iweje ameshaonekana kwenye video takriban 10...
3 Reactions
14 Replies
6K Views
Nani mkali, Ali Kiba au Diamond? Kuna mashabiki vindakindaki ukiwachokoza kwenye mada hiyo, wanaweza kurusha ngumi kwa kubishana. Wasanii hao wawili wameweza kutengeneza Simba na Yanga yao. Ni...
17 Reactions
84 Replies
33K Views
Back
Top Bottom