Ali Kiba's Birthday

BilioneaPATIGOO

JF-Expert Member
Jun 23, 2012
12,321
11,315
Ni nadra kuona Alikiba akifanya sherehe kubwa kwaajili ya birthday yake.

Lakini mwaka huu muimbaji huyo wa Aje aliamua kufanya kitu tofauti.

Nimeuuliza uongozi wake sababu ya mwaka huu kufanya sherehe kubwa na tena mbugani. “Yes ni mara chache hufanya party on his birthday,” amesema mmoja wa mameneja wake.

“Aliamua kuja mbugani kwa sababu kuu ni kwa sababu anapenda wanyama pili ni kutumia jina lake kutangaza utalii wa ndani,” aliongeza.

Wafanyakazi wa makampuni mbalimbali ya mbugani yaliungana na uongozi wake kusherehekea siku yake hiyo muhimu ambayo ametimiza umri wa miaka 30.

Chini ni picha zaidi za party hiyo.
1480589480032.jpg

1480589494610.jpg

1480589505476.jpg

1480589534508.jpg

1480589551946.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom