Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hope hii Ngoma itawavusha kwenda level ingine hapa bongo Ipo vizuri kuanzia beat,mashairi na hata video.. All the best Izzo na Bella
0 Reactions
62 Replies
13K Views
wimbo wa rayvany wa kwetu umeuburuza wimbo wa mkongwa wa bongo fleva alikiba nchini Kenya kwa nyimbo zinazopendwa zaidi. Kwa mujibu wa daily nation na bbc nchini humo. Wimbo wa kwetu umeshika...
3 Reactions
20 Replies
4K Views
Diamond a.k.a Simba a.k.a Dangote, hakuwaza kabisa madhara ya kujiita jina hilo (Dangote). Pengine hakuwahi kufikiria kuwa ipo siku Dangote halisi atakuja Tanzania na kuwekeza. Madhara yake ni...
9 Reactions
113 Replies
58K Views
Msanii n muigizaji wa marekani CeeLo Green amelipukiwa na simu usoni aliokuwa anatumia kuongelea wakati yupo studio na tukio zima lilinaswa na security camera zilizopo kwny studio yake. Video la...
2 Reactions
17 Replies
3K Views
Katika kile tunachokiita kusapoti vijana wenye vipaji, Theclick101 imekuandalia utaratibu maarumu ambao wasanii wachanga watapata muda wa kukutana na producer anayefanya vizuri kwa sasa na nyimbo...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
Zimetufikia za kunyapia nyapia kutoka shirika la wambea SHILAWADU kuihusu hitsong ya wakali wawili wa muziki hapa Bongo Ommy Dimpoz na Alikiba na ngoma yao ya Kajiandae. Inasemekana kuna mtu...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Akifanya mahojiano na Ayo TV, msanii wa kike aliepamba vichwa vya habari kwa kudai kuwa ana mimba ambayo ilitokana na kubakwa; amesema mimba hiyo ilikua ni 'igizo'.Anasema alikuwa anajaribu kuuvaa...
2 Reactions
31 Replies
4K Views
Sikiliza wimbo mpya kutoka kwa couple wapya in the town nawe utoe maoni yako unauonaje wimbo huu. Wamefanya vizuri au bado hawaridhishi.
6 Reactions
81 Replies
24K Views
Imbombo Ngafu!! Hii ngoma bado mbichi.. Afe kipa, afe beki! Leo kupitia 255 ya Clouds FM, Nay wa Mitego amenukuliwa akitoa yake ya moyoni kuhusiana na ngoma ya 'Freedom' inayogombaniwa kati ya...
11 Reactions
77 Replies
17K Views
Ni tukio kuuubwa kabisa la burudani kuwahi kutokea Tanzania na East Africa kwa ujumla wake na tukio lenyewe ni WASAFI BEACH PARTY wakishirikiana na VODACOM TANZANIA wanakuletea wasanii vipenzi vya...
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Nimekutana na video hii huko youtube ikionesha msanii wa bongo movie aitwae Nisha ambaye hivi karibuni kunataarifa kwamba ni mjamzito(mama kijacho)akiwa jukwani akiruka sarakasi na kuchana misamba...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Msanii Belle 9 amekuja juu baada ya kuambiwa ameiga kuweka vionjo vya salome kwenye nyimbo yake msanii huyo amesema wazo la ku sample wimbo huo alikuwa nalo kabla ya Diamond ajabu Diamond akatoa...
2 Reactions
29 Replies
6K Views
OMG! WARNING!!SOME GRAPHIC LANGUAGES ON IMAGES ATTACHED ON THIS THREAD. ONYO!! PICHA ZENYE LUGHA KALI MWISHONI MWA UZI HUU. When I said Mange Binti Kimambi aka Madam Mange Kimambi is back, I meant...
2 Reactions
34 Replies
21K Views
Hivi band ya Yamoto ipo wapi sikuizi mbona?? Kwa ushindani huu wa sasa naona tunakaribia kuwakosa kimuziki
4 Reactions
87 Replies
12K Views
Lile sakata la mwanamama mchambaji maarufi Instagram Mange Kimambi Na Tzshaderoom a.k.a Milly bado linaendelea Na ubuyu n kama ufuatao [emoji116] [emoji116] [emoji116]
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Akijibu hoja ya kwa nini hachukui uraia wa USA,Mange kupitia ukurasa wake wa Instagram alijibu anaogopa kuukana uraia wa Tanzania kwani atapoteza ndoto yake ya kugombea ubunge 2020
1 Reactions
82 Replies
15K Views
Akitokea THT ni binti mnyange aliyetikisa anga la muziki wa bongo fleva mwaka uliopita.. Ana kipaji Ana mvuto Ana sauti Lakini akakosa miongozo sahihi...utoto na pengine ulimbukeni wa kuwa maarufu...
9 Reactions
154 Replies
30K Views
Muigizaji asiye na makuu nchini, jennifer kyaka aka ODAMA, hivi karibuni amekua na ziara kwenye nchi mbali mbali ,ambapo alianzia nchini china ambako alienda kusherekea sikukuu yake ya kuzaliwa...
8 Reactions
57 Replies
20K Views
Huyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama 1,Kalamu 2,Mapete vidoleni (hana) 3,Simu ya kawaida kabisa Sisi ukipata hela za mkopo tu...
16 Reactions
144 Replies
24K Views
Back
Top Bottom