Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

pakua hapa oficial audio Diamond platnumz ft Neyo. Marry you. m.audiomack.com/song/bongofive/marry-you
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimeshangaa kuona watu wanaulizana huyu ni demu gani anachana namna hii? Ni baada ya Diamond kumpost kwenye kurasa yake ya instagram Rosa Lee. Mara ya kwanza kumsikia nilitokea kumkubali mno...
4 Reactions
73 Replies
18K Views
Aise mtu ana like adi BIL 1.2, !!?????
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Top 100 YouTubers in Tanzania Filtered by Most Viewed - Socialblade YouTube Stats | YouTube Statistics Kwa maelezo zaidi soma link.
1 Reactions
25 Replies
10K Views
Naona Anarudi Kwa Ujana Kwa Kasi ya Ajabu sasa Sijui alikuwa wapi kuyafanya Haya Na Mumewe kipindi kile.. Vipi hapo Unaonaje.. Yupo sawa Au Kaboa NOTE: Picha Hii ilipigwa kabla Ya Cover ya Music...
7 Reactions
127 Replies
24K Views
Daah... Hili ni balaa lazima dunia isimame.. Lazima dunia ijue kuwa Kuna nchi inaitwa Tanzania.. Pongezi kubwa Kwa Mange Kimambi japo huwa namchambaga anapoongelea siasa.. Go the...
1 Reactions
58 Replies
9K Views
Ukizungumzia DIAMOND PLATNUMZ bila ya ubishi wala kupinga basi unakuwa unazungumzia msanii mkubwa barani afrika na duniani kwa ujumla. Msanii ambae ameweza kukaa kileleni tangu anatoka mpaka hivi...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
copied somewhere NA HASSAN DAUDI HUENDA ujumbe wangu huu kwa mwanamuziki anayeitesa Bongo Fleva, Nasib Abdul ‘Diamond’, ukawakera wengi na hata yeye mwenyewe. Lakini, nimejiridhisha kuwa...
3 Reactions
50 Replies
12K Views
Nachukua fursa hii kwanza Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunipa uhai na kuniwezesha kushiriki katika mashindano haya, kuishukuru Kamati ya Maandalizi ya Mashindano ya Miss Tanzania na pia...
6 Reactions
36 Replies
12K Views
Nipo huku Kenya kuna watu wanamuulizia, Mara baada ya kusikia Mimi nimetokea tz,kiukweli cjui chochote kuhusu huyu jamaa
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Ukilala ukiamka, ukila ukishiba, ukinya ukimaliza basi utaanza kuwasema UKAWA. Back to the point, Lowassa wa leo si Lowassa wa miaka 8 iliyopita, you are judging the different person. As u know...
29 Reactions
253 Replies
44K Views
Wana JF nawasabahi, Natumai sikukuu ya Maulid imeenda vyema na wachache ambao wanauguliwa na ndugu jamaa na marafiki Mungu awape uponyaji. Nimejitokeza hapa ili kuwauliza wana JF kama kuna mtu...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Kwanza nafurahi kuona baadhi ya wasanii wakianza kujitambua kwenye event kama ya jana wengi walivaa vizuri tofauti na huko nyuma. Kilichonikera nikitendo cha Dully Sykes kuitwa kutangaza tuzo tena...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari Jf Nimekua nikifuatilia kwa ukaribu sana habari kutoka blog mbalimbali Tanzania, mwisho wa siku nikalizishwa na kuiamini MILLARDAYO.COM kama blog inayocover habari za aina zote ndani na...
9 Reactions
96 Replies
17K Views
Ahadi ni deni – muigizaji mkongwe wa Marekani, Samuel L. Jackson ameonekana kuipinga ahadi yake aliyowahi kuitoa kuwa atahamia Afrika Kusini endapo Donald Trump atateuliwa kuwa Rais wa nchi hiyo...
4 Reactions
37 Replies
5K Views
Kama ilivyo kawaida kwa sasa ambapo kila msanii wa bongo fleva anataka kumiliki label yake.Hatimaye msanii Baraka da Prince na mpenzi wake Najma wametuletea label mpya kabisa inayojulikana kama...
1 Reactions
77 Replies
12K Views
Wadau wa muziki, ninashangazwa sana na hawa wasanii wetu wa bongo fleva ambao wanashindwa kuitangaza nchi yetu na kuamua kila video yao mpya kwenda kuifanya South Africa utadhani huko ndio...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Aliyekuwa nguli wa muziki wa Taarabu nchini Mzee Yusufu inadaiwa na dada yake kuwa atampa mkewe talaka baada ya kugoma kuacha kufanya muziki wa taarabu na kumrudia mungu kama mumewe alivyofanya...
2 Reactions
114 Replies
26K Views
Baada ya kuwa kimya kwa mda mlefu pasipo kuwapa updates kuhusu Diamond platnumz now nimerudi ...ntaendelea kuwapa updates zote za uhakika kuhusu diamond
3 Reactions
59 Replies
7K Views
Ni nadra sana kusikia wasanii wanaofanya rap kuwa wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja hasa kutokana na nature ya muziki wenyewe unaoaminika kuwa ni muziki wa wagumu na watu wanao-stay real...
2 Reactions
122 Replies
33K Views
Back
Top Bottom