Izzi
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 553
- 1,107
Akifanya mahojiano na Ayo TV, msanii wa kike aliepamba vichwa vya habari kwa kudai kuwa ana mimba ambayo ilitokana na kubakwa; amesema mimba hiyo ilikua ni 'igizo'.Anasema alikuwa anajaribu kuuvaa uhusika wa mabinti wanaobakwa na si kweli kwamba ana mimba.
Nanukuu''Mwenye mimba ni Nisha,na sio Salma'
Source: Millard Ayo
Nanukuu''Mwenye mimba ni Nisha,na sio Salma'
Source: Millard Ayo