Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hakuna cha mc pilipili ,joti au eric omond huyu jamaa kutoka 254 ni funika kama unastress lazima zipungue.
0 Reactions
27 Replies
4K Views
salaam sana.naomba niwataje wasanii wa muziki (hususan bongo fleva) ambao naamin hawastahili kuwasahau kwa vyovyote vile watayarishaji wa muziki(producers) kwakua wametoka nao mbali 1.Ali...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wakuu wa jukwaa Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Kati ya huu mgogoro unaondelea chin chin kati ya wasafi na clouds nimegundua NGUVU YA UMMA IKO NYUMA YA DIOMOND...
6 Reactions
74 Replies
12K Views
Watu wa mikoani malalamiko yenu nimeyasikia ila na mimi nina ya kwangu pia naomba myasikilize kwa umakini ili tuweze kwenda Sawa . —————————————————————————————————————————————————————— Ukitoa...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Napata wasiwasi sana juu ya majibu ya huyu mwanadada ambaye alikuwa ni mfano wa kuigwa.
5 Reactions
127 Replies
14K Views
Nakumbuka mwaka 2001 kwenye chati ya nyimbo kumi za Bongo Fleva kwenye kituo cha Radio One Stereo, pale mtangazaji wa kipindi hicho alipoitangaza ngoma iliyoshika nafasi yakwanza.Mtangazaji...
8 Reactions
19 Replies
5K Views
Enzi zile,kulikuwa na fasion ya mashart na suluali pana,sijui ziliishia wapi!!
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Muimbaji wa muziki raia wa Norway, Makihiyo ameachia nyimbo iitwayo ‘Ni Wako’ akiwa amemshirikisha mkali wa muziki wa R&B Bongo, Ben Pol. Huyu mzungu anasema sababu ya kuimba kwa Kiswahili ni kuwa...
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Mtambo unawashwa sio muda mrefu.tuanze kupendekeza majina ya watangazaji wa media yetu wanyonge tumsaidie president wa WCB. Mapendekezo yangu Kipindi Cha muziki wa kisasa akae Sky walker...
7 Reactions
47 Replies
8K Views
Heri ya kuzaliwa kwa bondia asiyepigika na bondia mwenye pesa zaidi kuliko wanamichezo wote ulimwenguni kuanzia soka ,tennis,basketball na kadhalika
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Niende moja kwa moja kwa huyu mwamba joslini mzeee Wa pafyumu yaani alitikisa balaaaa na baadhi ya nyimbo zake kama niite mpenzi,mshikaji mmoja,maisha yanatisha ft nuruel,huyu demu simwelew ft...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Salute comrades.. Leo namleta kwenu mchekeshaji na mwigizaji maarufu kutoka Afrika kusini Leon Schuster aka Mr bones. Kwa wapenzi wa filamu basi watakua wanamfahamu huyu jamaa . Anaitwa Leon...
5 Reactions
31 Replies
6K Views
February 19, 2018 Mwanamitindo maarufu Nchini Tanzania amealikwa ktk Makazi ya Malkia Buckingham Palace ya London Uingereza. Mustafa Hassanali amepata nafasi ya kualikwa kuhudhuria maonesho ya...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Baada ya kusumbua na hits kali kama (i) Kama Utanipenda (ii) Too Much (iii) Muziki (iv) Hasara roho kwanini Darasa amekaa kimya kwa muda mrefu?
0 Reactions
52 Replies
13K Views
Kila nikimsikia akifanya ' mahojiano ' yake ya Media mbalimbali hapa Madafuni / Tanzania utamsikia Msanii Ben Paul akitamba / akijifaragua / akijishebedua / akijimandingondingo kuwa Yeye ni Mfalme...
3 Reactions
48 Replies
9K Views
Msanii wa Filamu Bongo, Irene Uwoya amefunguka kuhusu tabia ya baadhi ya wanawake kutopenda mafanikio ya wazao badala yake wapo tayari kushuhudia wenzao wakishindwa. Muigizaji huyo amesema watu...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaaam wanajamvi. Kwa wale watumiaji wenzangu wa mtandao wa kijamii wa instagram wengi wenu mtakuwa mmemfollow mwanadada machachari anaeweza kuikosoa serikali bila woga:- Mange Kimambi...
24 Reactions
254 Replies
49K Views
Divorce act inahusu watu walio nje ya ndoa pia: NENO TARAKA LIMETUMIKA KWA KUKOSEKANA KWA TAFSIRI YA KISWAHILI NOTE: PLEASE, SOMA ARTICLE NZIMA KABLA YA KU COMMENT ILI KUELEWA MADA. Vyanzo vya...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Huu ndio uhalisia kuhusu Simu hiyo.
12 Reactions
333 Replies
41K Views
Back
Top Bottom