Kumbe miaka hiyo vimini vilikuwepo? Nilikuwa chekechea miaka hiyo.
HUYU BABU WA KARIAKOO NAONA KAPUMZIKA BAADA YA SHOW NDEEEFU YA KUZUNGUKA NA COSTA LA FIESTA.
Hahahaha komando huyo.... aka binti machoziNani huyu, Nsyuka?
Hahahaha komando huyo.... aka binti machozi
Kumbe miaka hiyo vimini vilikuwepo? Nilikuwa chekechea miaka hiyo.
Kiuno ilikua ray c bana ukichoka kumtazama unahamia kwa Aisha madinda.PAGAN said:Jaydee kipindi hiyo alikuwa anajitahidi kukata viuno. Kiuno chenyewe kugumuu kama tofali.
Kiba handsome toka Zamani
mhuuKiba handsome toka Zamani
Unataka nimtaje nishushiwe mvua ya matusi jumapl yote hii,Hapa aiceeemhuu
Nani sio hb toka zamani
Hahaha amani ya bwana iwe nawe...Unataka nimtaje nishushiwe mvua ya matusi jumapl yote hii,Hapa aiceee
Niwache pulizzzzz niwe na cku nzuri jomoniií!!!
Kahandsome toka kitambo
Mbagala!mhuu
Nani sio hb toka zamani