Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hapana shaka hata kidogo mziki wa Bongefleva umepanda chati kwa kasi sana kimataifa hasa barani afrika na wanamuziki wake wamekuwa na ushawishi mkubwa katika kiwanda cha muziki ndani na nje ya...
22 Reactions
115 Replies
21K Views
Wasafi tv haijaja kushindana na mtu bali imekuja kuongeza nguvu kukuza tasnia ya sanaa na burudani' ...amesema diamond baada ya kuulizwa kuusu minongono ya kushindanishwa na kituo fulani kizee cha...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
TMZ inaripoti kuwa Rick Ross kalazwa spitalini huko Miami na yupo kwenye life support. ============================================== Rick Ross has been hooked up to a machine that's taking...
6 Reactions
51 Replies
7K Views
Na Sifael Paul WILLIAM Malecela a.ka Le Mutuz ambaye anatajwa kuwa ni mtoto wa mwanasiasa mkongwe Bongo, John Malecela ambaye anadaiwa kuwa ni funga kazi kwa kupenda kupiga picha na wanawake...
0 Reactions
110 Replies
17K Views
Hili ndilo 'tamko' la meneja wa Diamond Sallam' kupitia IG page yake kupitia kufungiwa nyimbo 2 za msanii wake. Sasa naunga mkono maneno ya Shigongo hawa Managers wake hasa huyu Sallam...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Pichani mwenye tshet nyekundu ni baba yake mzazi Ommy Dimpoz ambapo Amesema mwanae huyo amemtelekeza miaka Mingi licha ya Dimpoz kusifika kwa kula bata nchi mbalimbali duniani. Baba Dimpoz ana...
7 Reactions
146 Replies
19K Views
hizo nyimbo zilizokatazawa je zitakuwepo kwenye hiyo album? Au ataifanyia masahihisho?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu wanaJF, nimejaribu kuutazama kwa umakini sana wimbo wa Diamond Uitwao Hallelujah, kimsingi sijaona tatizo lililofanya wimbo huo kufungiwa. Huku ni kutaka kuuwa vipaji vya wanamuziki wetu...
5 Reactions
45 Replies
7K Views
Kumekuwa na tetesi kadhaa zinazomuhusisha Mbongofleva Alikiba kufunga ndoa ya kimya kimya nchini Kenya. Kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa kwenye website ya Ghafla, Alikiba anatarajia kufunga...
4 Reactions
60 Replies
14K Views
Msanii Roma anaeunda kundi la ROSTAM amefungiwa kutokujihusisha na sanaa kwa muda wa miezi sita ikiwa ni kama adhabu ya yeye kutokutii agizo la baraza la sanaa tanzania (BASATA) la kufungiwa kwa...
1 Reactions
107 Replies
18K Views
Babu yangu(RIP) aliwahi kuniambia kuwa hakuna marehemu mbaya. Yaani mtu akishafariki ni ngumu na ni mara chache mno kuzungumziwa mabaya yake. Kinachotawala huwa ni mema ya marehemu tu! Mowzey...
36 Reactions
148 Replies
27K Views
Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza amemfungia msanii Roma Mkatoliki kutojihusisha na tasnia ya muziki kwa kipindi cha miezi sita. Akizungumza leo Machi 1, 2018 na...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Matonya amefunguka kuhusu tuhuma zilizosambaa kuwa amekamatwa na Madawa ya Kulevya nchini China akisisitiza kuwa sio kweli na wala yeye hajawahi kujihusisha na biashara hiyo kwenye maisha yake...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakiokuwa wanapiga kelele eti ETV hawachezi ngoma za WCB,hicho kitu hakipo...sasa nguvu ya ETV+WASAFI....Clouds mtaomba poo mwaka huu na roho zenu mbaya. Muda huu hizi picha ni Ngoma ya Diamond ETV
3 Reactions
84 Replies
11K Views
Mzuqa SIZONJE's slaves! Kwani crazy GK aliwakosea nini AY na Mwana FA? Walikuaga Benet Sana. Hata kwenye harusi wamemtenga. Harusi ya AY iliyofanyika Golden Tulip
8 Reactions
124 Replies
30K Views
Wakati style ya kubadili rangi ya nywele zao na kuweka rangi tofauti tofauti ikiendelea ku-trend, Mwana FA hajakaa kimya katika hilo. Katika moja ya picha za Ommy Dimpoz ambazo anaonekana na...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Nyota wa muziki wa pop nchini Marekani Madonna amesema kuwa mwanawe David Banda atakuwa rais wa Malawi siku zijazo katika ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa Twitter akimsifu mvulana huyo...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Hebu angalia hii video ya sugu show ya mwaka 1996 mnazimmoja Dar es salaam kweli Sugu ni mwanaharakati toka zamani
7 Reactions
37 Replies
6K Views
Bollywood Super star Sridevi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. ======================================= Muigizaji wa kwanza wa kike kupata umaarufu zaidi kwenye soko la filamu nchini India...
1 Reactions
28 Replies
11K Views
Picha iliyozua maneno kuhusu mke wa Barnaba Boy ambayo yeye anasema ni ya kawaida tuichambue kidogo
1 Reactions
63 Replies
23K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…